Tuacheni roho mbaya jamani, Tusaidiane

Tuacheni roho mbaya jamani, Tusaidiane

Cash Generating Unit

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2019
Posts
13,285
Reaction score
39,491
Good morning Jf!!
Kuna msemo huwa unasema maisha ni kama duara tunazunguka na tutakutana. Thread hii inawahusu wote wenye tabia kama hizi. kuna watu wengi kwenye jamii zetu wakifanikiwa huwa wanasahau walikotoka % kubwa ya waafrica tupo hivi to be honesty.

Since naanza 1st year nilikua na brother wangu wa kitaa ambae yeye alikuwa amegraduate chuo, alikuwa hana kazi wala mishe yoyote. Kipind hicho alikuwa ananiomba sana vocha, pesa za nauli kwenda kufanya interviews nk. Ofcoz nilikua nampa sana namsaidia. Mwaka 2018 alipata kazi kwenye taasisi kubwa hapa nchin binafsi nilikua sijui kama amepata kazi lakini nilisikia kwa wana kitaa jamaa kala shavu na alikuwa kashakata mawasiliano na mimi muda. Nilijaribu sana kumtafuta lakini alikuwa hapokei simu, mara akwambie yuko busy na hakutafuti ila insta anapost, whatsapp nk nikapotezea.

Wanangu wengi tu walionitangulia kupata kazi walichange kabisa walikata mawasiliano ni wana wachache sana ambao tulikuwa pamoja. Kibaya kinauma sana kuna mtu nimemsaidia sana chuo bila mimi angekua alidisco nimesave sana kwenye tests, UE amepata kazi kwenye Organization huko KENYA ina deal na projects kanipotezea wtf?? Hawa ni mfano tu ila wapo wengi.

Narudi kwenye thread, mnajua huku kwenye kampuni, Organizations kuna kazi nyingi hata part time huwa zinatokeaga na wengi ambao huwa wanajulishwa ni wafanyakaz walete watu haraka, lakini utakuta rafiki yako anajua fika kabisa huna kazi ila anaona kinyongo kukupa hio fursa.Mfano mimi mpaka sasa nimesaidia watu5 wamepata permanent jobs. Ukisha kuwa kwenye system ya ajira kupata connections ni easy sana coz kuna meetings, seminars tofauti na mnakutana na watu tofauti.

Tuache roho mbaya jiulize umesaidia watu wangapi mpaka sasa? Ukiwa na roho ya dizain hii huwezi fanikiwa hata siku moja. Kumsaidia mtu sio kumpa pesa au kumpa offa za bia kila siku bali msaidie apate kazi hapo umesaidia, tusisahau tuliko toka. Kuna watu wana suffer kitaa years ila siku anapata kazi yenye maslahi na anakuzidi kimaendeleo. Kuwahi pata kazi sio kutoboa maisha kama wengi wanavyodhani ila kutakuwa na magap tu.

Ukiwa na rafiki yako aliyeajiriwa ni sana kukupa connectio wewe hata kama sio leo wala kesho ni rahisi sana ku connekt. Mfano mimi nimeskia kuna mtu anahitajika nikamfata manager/hr nimwambie na mtu anaweza kufit please nipe hiyo chance tunampa mwezi akishindwa kufit tunamtoa unadhan atakataaa? Sio rahisi sema wabongo wengi hatuna roho ya kusaidiana ila tumejaa wivu na roho mbaya.

Mpaka sasa mimi nimesaidia watu wengi tu ila wa5 hawa wamepata parmanent jobs na mmoja yumo humu jf. Na nitaendelea na roho hii hii ya kusaidia wengine no matter what. Mimi nilisaidiwa kupata kazi na mtu ambae nilikutana nae Bar simjui akanitafutia kazi yenye maslahi why me nishindwe saidia wengine? Na siku zote usimtegemee ndugu au rafiki kukusaidia mtu atakae kusaidia ni mwingine kabsa ambae hata humjui...

Mwisho, tusikate tamaa kama huna kazi endelea kutuma maombi ipo siku mambo yatatiki, kila mtu ana siku yake aliyopangiwa na mwenyezi Mungu. Waliokutangulia kupata kazi inajua huwa inauma sana halafu unakuta ndio kakupotezea mazima achana nao fanya yako, kingine ishi kama huna elimu maisha yatakuwa simple sana jichanganye na watu usiogope. Kwenye ma bar makubwa, kanisani huko ndo connection zilipo wengi hatujui tu. NICAY
 
Kusaidia ni moyo tu wa mtu haijalishi mko na mahusiano gani. Na msaada ni unasaidia pale utakapoweza bila kusubiri return ya aina yoyote.
Kama unasaidia na unategemea uliowasaidia wakufanyie mema kama unayowafanyia wewe huo hauwezi kuwa msaada.

#TendaWemaUendeZako
 
Shukran sana mkuu ulichoongea ni cha kweli kabisa ndugu watu wakitusua wanaanza kuwatenga wale ambao bado wanastruggle kwa imani ya kwamba anatakiwa kuwa karibu na watu waliotusua.(kutusua-kufanikiwa)

Anyway nami nina ombi kwenu kwa kazi yoyote isiyotumia nguvu nyingi wala kuhitaji mawasiliano ya mdomo kwa kiasi kikubwa,inayofiti katika field ya elimu ya kidato cha nne na college katika primary education na yoyote ile inayoweza kuendana na kiwango hiki cha elimu tusaidiane.


Namaanisha any kind of job kama mfagia uwanja na mzoa taka na kazi zote kama hizo na zinginezo nipo tayari,25yrs male.
 
Good morning Jf!!
Kuna msemo huwa unasema maisha ni kama duara tunazunguka na tutakutana. Thread hii inawahusu wote wenye tabia kama hzi. Kuna watu wwngi kwenye jamii zetu wakifanikiwa huwa wanasahau walikotoka % kubwa ya waafrica tupo hivi to be honesty.

Since naanza 1st yr nilikua na brother wangu wa kitaa ambae yeye alikuwa amegraduate chuo, alikuwa hana kazi wala mshe yoyote. Kipind hicho alikuwa ananioomba sana vocha, pesa za nauli kwenda kufanya interviews nk. Ofcoz nilikua nampa sana namsaidia. Mwaka 2018 alipata kaz kwenye taasisi kubwa hapa nchin binafsi nilikua sijui kama amepata kaz lkn niliskia kwa wana kitaa jamaa kala shavu na alikuw kashakata mawasiliano na mimi muda. Nilijarib sana kumtafuta lkn alikuwa hapokei sim, mara akwambie yuko busy na hakutafuti ila insta anapost, whatsapp nk nikapotezea.

Wanangu wengi tu waliontangulia kupata kaz walichange kabisa walikata mawasiliano ni wana wachache sana ambao tulikuwa pamoja. Kibaya kinauma sana kuna mtu nimemsaidia sana chuo bila mm angekua alidisco nmesave sana kwenye tests, UE amepata kazi kwenye Organization huko KENYA ina deal na projects kanipotezea wtf?? Hawa ni mfano tu ila wapo wwngi.

Narud kwenye thread, mnajua huku kwenye campun, Organizations kuna kazi nyingi hta part time huwa zinatokeaga na wengi ambao huwa wanajulishwa ni wafanyakaz walete watu haraka, lakin utakuta rafiki yako anajua fika kabisa huna kazi ila anaona kinyongo kukupa hio fursa.
Mfano mimi mpaka sasa nimesaidia watu5 wamepata permanent jobs. Ukisha kuwa kwenye system ya ajira kupata connections ni easy sana coz kuna meetings, seminars tofaut na mnakutana na watu tofauti.

Tuache roho mbaya jiulize umesaidia watu wangap mpaka sasa? Ukiwa na roho ya dizain hii huwez fanikiwa hta siku moja. Kumsaidia mtu sio kumpa pesa au kumpaa offa za bia kila siku bali msaidie apate kazi hapo umesaidia, tusisahau tuliko toka. Kuna watu wana suffer kitaa years ila siku anapata kaz yenye maslahi na anakuzid kimaendeleo. Kuwai pata kazi sio kutoboa maisha kama wengi wanavyodhani ila kutakuw na magap tu.

Ukiwa na rafiki yako aliyeajiriwa ni rahis sana kukupa connectio ww hata kama sio leo wala kesho ni rahis sana ku connekt. Mfano mimi nimeskia kuna mtu anahitajika nikamfata manager/hr nimwambie na mtu anaweza kufit please nipe iyo chance tunampa mwez akishindwa kufit tunamtoa unadhan atakataaa? Sio rahis sema wabongo wengi hatuna roho ya kusaidiana ila tumejaa wivu na roho mbaya.

Mpaka sasa mimi nimesaidia watu wengi tu ila wa5 hawa wamepata parmanent jobs na mmoja yumo humu jf. Na nitaendelea na roho hii hii ya kusaidia wengine no matter what. Mimi nilisaidiwa kupata kazi na mtu ambae nilikutana nae Bar simjui akanitafutia kazi yenye maslah why me nishindwe saidia wengine?? Na siku zote usimtegemee ndugu au rafiki kukusaidia mtu atakae kusaidia ni mwingine kabsa ambae hata humjui...

Mwisho, tusikate tamaa kama huna kazi endelea ktuma maombi ipo siku mambo yatatiki, kila mtu ana siku yake aliyopangiwa na mwenyezi Mungu. Waliokutangulia kupata kazi inajua huwa inauma sana afu unakuta ndo kakupotezea mazima achana nao fanya yako, kingine ishi kama huna elim maisha yatakuw simple sana jichanganye na watu usiogope. Kwenye ma bar makubwa, kanisan huko ndo connection zilipo wwngi hatujui tu. NICE DAY
It is what it is.
Usisaidie mtu kwa kutegemea kwamba huko mbele ya safari na yeye akusaidie au arudishe fadhila; Hiyo sasa itakua ni investiment.
Fanya kile ambacho ni sahihi. Uko kwenye nafasi Fulani ya kusaidia mtu afikie level Fulani, fanya hivyo, baada ya hapo usianze kuangalia nyuma kila mara na kutegemea kuwa yule uliemsaidia afanye kitu kwako; Utaishia kupata depression na frustrations kwenye safari yako.
Champagnee
 
Saidia kwa kumtazama MUNGU ukimtazama binadamu akulipe fadhira utafail.TATIZO PIA AWAMU HII VIZINGA VIMEZIDI HADI INAKUWA KERO AISEE.
 
Ukweli mtupu,Mimi nilikuwa na rafiki angu chuo toka apate kazi huu ni mwaka hapokei cm na wala hajibu message
 
Haya mambo hata kwenye familia Yapo, Mfano hai Ni. Baba mdogo wangu Ni mkubwa Tanesco lakini iligundulika ndiye aliyekuwa anabana brother yangu kuwa full employer Na sifa anazo zote. Kumbuka hapo alipo( bamdogo) mpaka anamaliza DIT aliyemsomesha Ni Baba yangu.

Uone jinsi mambo yalivyo magumu. Wasomi waige umoja walionao hata bodaboda ambao wengi wanaonekana shule imegoma, ila Kama Ndiyo hivi watachekwa Sana mtaani.
 
kuna bwege nilimpa taarifa mm juu ya iyo ajira, barua na maombi nkamtumia mimi (hapo mie nilikuwa nafanya kazi sehemu kwa mkataba yeye yupo tu)

ila tangu alambe shavu (ni shavu kweli kweli) naona yuko kimya hata salamu,sema ni vile nami sinaga muda wa kujipendekeza.

Now nimepata kazi kupitia jamaa yangu niliyesoma nae drs la 7.
 
Back
Top Bottom