Tuache utani, ni raha sana kuwa na mbunge wa upinzani jimboni kwenu

Shukrani A. Ngonyani

JF-Expert Member
Feb 23, 2014
1,182
2,015
Unajisikiaje pale wabunge waliovaa mashati ya kijani wote wanamzomea Tundu Lissu, au Mbatia au Mama Magdalena Sakaya?

Unapata wazo moja tu, kuwa anaonewa. Hata kama mbunge huyo wa upinzani kazungumza "pumba".

Kwa kuwa ni ukweli ulio wazi ni wabunge wachache tu wa CCM ndio wanaweza kujieleza, kuchambua mambo na kuelewa na kuyawasilisha kwa kutumia akili yao, karibu wote wanasubiri order tu ya kukubali na kuanza kupiga makofi kila neno huku wengne wakipamba na vigelegele.

Huwa nahisi raha sana pale mbunge wa upinzani(yeyote) anaposimama na kuanza kuivunjavunja serikali na kuishauri huku CCM wakiwa wamenuna kama wanasikilizia maumivu.

Hata kama jimbo lenu halina jina kubwa, chagua upinzani. Hakika akisimama bungeni mara mbili tu, nchi yote tumemjua na tutajua jimbo alilotoka.

Ndo maana nasema NI RAHA SANA KUWA NA MBUNGE WA UPINZANI JIMBONI KWAKO(ila sio sample ya yuda wa kigoma).
 
Mtoa mada, hebu linganisha alichofanya Lissu dhidi ya Zitto jimboni. Halafu linganisha kukubalika kwao majimboni mwao. Zitto ni habari nyingine
 
Kama raha yake inasaidia Wenje alifanya nini kwenye jimbo lenu na yako wapi!
 
Mtoa mada, hebu linganisha alichofanya Lissu dhidi ya Zitto jimboni. Halafu linganisha kukubalika kwao majimboni mwao. Zitto ni habari nyingine

Acha kucheza na akili za wakubwa
ZITTO alikua anasaidiwa na CCM
na bila msaada wa CCM zitto angefutika
 
Kama raha yake inasaidia Wenje alifanya nini kwenye jimbo lenu na yako wapi!

Wenje kafanya mengi sana
Na pia alikua mtetezi wa wana nyamga city

Leo bara barabza lami zimetamalaki Jijini

Kuhusu elimu
Ye alikua mdau mkubwa wa elimu JMBONI

KWANZA MABULA hakushinda
Na usione WENJE KUKOSA MADIWANI

NI UJINGA WA JOHON JOHN MNYIKA

UKAWA HAIKUEPO UPANDE WA MADIWANI

mnyika alitoa order kuwa wahakikishe CDM mwanza inaweka diwani kila kata sasa hapo ikawa tatizo

Kura zilikua zinagawanwa sana
 
Wenje kafanya mengi sana
Na pia alikua mtetezi wa wana nyamga city

Leo bara barabza lami zimetamalaki Jijini

Kuhusu elimu
Ye alikua mdau mkubwa wa elimu JMBONI

KWANZA MABULA hakushinda
Na usione WENJE KUKOSA MADIWANI

NI UJINGA WA JOHON JOHN MNYIKA

UKAWA HAIKUEPO UPANDE WA MADIWANI

mnyika alitoa order kuwa wahakikishe CDM mwanza inaweka diwani kila kata sasa hapo ikawa tatizo

Kura zilikua zinagawanwa sana

upumbavu nao ni kipaji wenje ndio takataka gani?
 
Sisi tuna Gibson ole Meiseyeki tutampa ushirikiano jimbo letu lisonge mbele
 
Kama raha yake inasaidia Wenje alifanya nini kwenye jimbo lenu na yako wapi!

Hamjui siri ya kushindwa kwa Wenje. Njama zilizofanyika pengine hazijawahi kutokea katika historia ya chaguzi Tanzania.
Ziko habari chini ya kapeti kuwa usiku ule wa kuhesabu matokeo ilifika mahali Wenje alikunjana na mkuu mstaafu mzee wa ulofa.
Alifata nini Mwanza kama sio umafia wake ili tuu yule anayependwa na watu wa Nyamagana asipite
 
True! Nilikuwepo eneo la tukio na ni baada ya kupigwa kibao na yy kumrudishia kwa mtama ndipo polis wakamtoa na ded kutangaza kibabe matokeo
Hamjui siri ya kushindwa kwa Wenje. Njama zilizofanyika pengine hazijawahi kutokea katika historia ya chaguzi Tanzania.
Ziko habari chini ya kapeti kuwa usiku ule wa kuhesabu matokeo ilifika mahali Wenje alikunjana na mkuu mstaafu mzee wa ulofa.
Alifata nini Mwanza kama sio umafia wake ili tuu yule anayependwa na watu wa Nyamagana asipite
 
Back
Top Bottom