mwanasiasa akizindua mradi wa maji anafungua bomba la maji kisha ananawa mikono kuashiria imezinduliwa rasmi.
sasa swali langu mwanasiasa akiwa anazindua choo anafanyaje ? tuache siasa, AU anazindua kondomu,
kwasababu ombi ni kuacha siasa nadhani wafike waflash maji chooni na kama choo ni cha shimo amwage maji kuonesha ukimaliza kukata gogo jitawaze,si wanapenda siasa