Tuache majibu rahisi katika maswali magumu.

Tuache majibu rahisi katika maswali magumu.

hindikwetu

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2015
Posts
251
Reaction score
86
Katika mfululizo wa matukio mabaya ya mauaji na mengine hapa Tanzania, uchunguzi wake umekuwa ukitanguliwa na matamko mengi yenye malengo ya kupata kiki kisiasa.Hii tabia inapoteza dira kamili ya wachunguzi wa idara ya usalama,mtu anashambuliwa, watu wanauawa kama kule kiburi, mwanasiasa unatokea na kauli za tunawajua wahusika, na hawataki, ama hiyo ndo miruzi mingi ya kupoteza mbwa katika ukweli halisi? Ama ni kwa nini kuna hii tabia ya kujiwahi kutoa majibu rahisi katika maswali magumu na nini kifanyike? Idara ziachwe zifanye kazi bila kutafutiwa majibu?
 
watoa majibu rahisi wakiona hii post watajirekebisha
 
Mbwa hata awe mkali vipi hawezi kung'ata mkia wake.Akili kumkichwa!!na sio kwamba hamjui,mnajua vizuri sema mnatuona maboya.
 
Back
Top Bottom