Tuache kumuita hivyo

Mi nilishaacha huo ujinga, wa kuita mama wapo kibao, mama gani asie na huruma na damu za watoto wengine, jina lake alishajipa chura kiziwi
 
Mimi huwa namuita Mzanzibar ili kumbagua kabisa kuwa huyu si mtanganyika mwenzetu,

Na ndo maana katuletea wauaji ili watuue watanganyika
Mkuu sasa hivi chama chako Ccm hutaki tena kukisikia? Watoto wa Arusha wanasema umechafukwa na roho
 
Mimi sitaki hata kumuita Samia, kwa sababu kuna Samia wenye roho nzuri sana ninaowafahamu.

Nitamuita Samia The Killer, Rais Haram au jina jingine lolote linaloelezea faithfully yeye ni mtu wa aina gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…