Nawajegeja
Member
- Sep 25, 2021
- 30
- 42
Hii ndo tofauti ya mashabiki wa Simba na Yanga.
Simba wanajua shida ni baadhi ya wachezaji,vuta picha ingekua upande wa pili wangefungwa.tff,body ya ligi au uongozi wao wasingepumua.
Simba wanajua shida ni baadhi ya wachezaji,vuta picha ingekua upande wa pili wangefungwa.tff,body ya ligi au uongozi wao wasingepumua.