The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 256
Waziri wa Muungano, Mhe. Samia Hassan Suluhu, leo jioni wakati akifanya majumuisho ya matumizi ofisi ya makamu wa Rais, mazingira na Muungano, amesema kuwa tuache kufukua mambo ya Muungano na jinsi ilivyokuwa, kwani hata mtoto hakosi kasoro.
Hivyo tuulee muungano wetu mzuri na mchanga, kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho..
source.TBC1 Bunge jioni.
Hivyo tuulee muungano wetu mzuri na mchanga, kwa manufaa ya kizazi kilichopo na kijacho..
source.TBC1 Bunge jioni.