TTCL yazindua huduma ya TTCL PESA

TTCL yazindua huduma ya TTCL PESA

TTCL kuwapiku mpesa au tigo pesa ni kazi rahisi sana ambayo hata mimi naiweza..

dawa ni unapandisha makodi tu kwenye transactions za simu zote, wao mpesa na tigo pesa wataongeza gharama kwa wateja wao ili wasipate hasara...

yeye ttcl anabaki na bei cheap sababu ana ruzuku..

kwa jinsi watanzania wanavyopenda bei cheap.. wote wataamia ttcl pesa



Kuipiku Tigo Pesa na Mpesa ni kazi ngumu, Airtel money wenyewe wapo wapo tu.

Ni vigumu kuwatoa Watanzania kwenye kitu walichokizoea tangu na tangu.

Wangebuni biashara nyingine na sio kila biashara inayofanywa na haya makampuni basi wote wafanye .
 
yeye ttcl anabaki na bei cheap sababu ana ruzuku..




Hicho ndicho kinachoua haya mashirika ya umma, yanatakiwa yajiendeshe yenyewe na sio eti kutegemea ruzuku za Serikali.

Sasa hapo utajuaje kama unapata faida?

Yanatakiwa yawe kibiashara kama makampuni mengine.
 
hizo fitna za kumtoa tigopesa na mpesa kwenye market..

unafikiri ttcl atapataje wateja wa ttcl pesa haraka haraka...

hata hizo kodi si zinaingia serikalin na wao wanazirudisha ttcl kama ruzuku..

bado serikali haitapata hasara..

after 2 yrs tu ttcl akipata wateja wengiii... serikali inashusha kodi kwa wote tenaaa




Hicho ndicho kinachoua haya mashirika ya umma, yanatakiwa yajiendeshe yenyewe na sio eti kutegemea ruzuku za Serikali.

Sasa hapo utajuaje kama unapata faida?

Yanatakiwa yawe kibiashara kama makampuni mengine.
 
Wangeboresha kwanza huduma zao za mawasiliano na internet. Hivi sasa kupata laini zao au vocha ni shida ndio itakuwa hiyo huduma ya pesa?? Halotel nao wamekuja na huduma ya pesa lakini inasuasua maana m pesa, tigopesa na airtel money walishaziteka hizo huduma.
 


Hicho ndicho kinachoua haya mashirika ya umma, yanatakiwa yajiendeshe yenyewe na sio eti kutegemea ruzuku za Serikali.

Sasa hapo utajuaje kama unapata faida?

Yanatakiwa yawe kibiashara kama makampuni mengine.
Me nashauri haya mashirika ya umma yangeondolewa hiyo ruzuku ili yawe yanajiendesha kibiashara. Yakiwa na ruzuku yanaishia kuendeshwa kisiasa.!
 
Me nashauri haya mashirika ya umma yangeondolewa hiyo ruzuku ili yawe yanajiendesha kibiashara. Yakiwa na ruzuku yanaishia kuendeshwa kisiasa.!

Mfano mzuri Wa mashirika ya umma yapewayo ruzuku ni TBC, angalia utendaji wake! Laiti kama wangeachwa wajitegemee wenyewe basi angalau kungekuwa na ufanishi kwasababu wangekuwa wako kwenye ushindani Wa kibiashara na media zingine.

Lakini ruzuku imewabwetesha.
 
basi sawa

Sent from my Apple iPhone 5s using JamiiForums Auto-reply Mobile app
 
Kuipiku Tigo Pesa na Mpesa ni kazi ngumu, Airtel money wenyewe wapo wapo tu.

Ni vigumu kuwatoa Watanzania kwenye kitu walichokizoea tangu na tangu.

Wangebuni biashara nyingine na sio kila biashara inayofanywa na haya makampuni basi wote wafanye .
Kwahiyo unawashauri vipi?
 
Back
Top Bottom