Wadau, kuna wakati huwa napata shida sana na mashirika yetu ya serikai/umma aka "ya wazalendo".
To be honest sioni uzalendo wowote zaidi ya very high operating cost, ufujaji na inefficiencies... nachelea sana kuelewa kwanini vodacom, tigo, zantel etc hadi sasa sijasikia wakipiga kelele kuomba msaada wakati wapo kwenye the same industry na ttcl, kibaya zaidi, ttcl wana infrastructure kubwa na wider kuliko hao wengine, lakini wamedumaa na kudumaza their very own company
given options available na hali halisi ya nchi, kuwapa ttcl hata laki moja ni kuhujumu uchumi na ni bora either wangeuza au kuingia ubia na watu kama voda, airtel tigo, sasatel etc kuboresha walichonacho
rai yangu kwa serikali, seel ttcl or find potential partners, dont even thing of pumping money... tuangalie bima, atcl, trl etc wanavyotafuna kama mchwa