taekwondo
Senior Member
- Oct 6, 2016
- 131
- 244
kwema wakuu..kati ya hiyo mitandao mitatu hapo juu..ni upi speed yake ya 4G ina power zaid??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengine huku tuliko hata 4G hatujui ni nini!kwema wakuu..kati ya hiyo mitandao mitatu hapo juu..ni upi speed yake ya 4G ina power zaid??
Sent using Jamii Forums mobile app
Na airtel jeVoda nadhani speed yao ni 4½G wanatisha sana tatizo uwizi wao wa matumizi ya data ni mwingi.
Hao ushuzi wa hali ya juu wako slow kinyama
Airtel speed yao ni yakawaida mno na hawajajitanua sehemu nyingi kuna baadhi ya wilaya hawana hata 3G ya airtel
Sasa unataka speed ya data halafu hutaki bando liishe! Una undugu na bwana J Ndu.Gay niniVoda nadhani speed yao ni 4½G wanatisha sana tatizo uwizi wao wa matumizi ya data ni mwingi.
Ttcl ktk mitandao bado ina waburuza mitandao mingine tukubali au tukatae, mm kwa upande wangu wanani onesha kuna afadhaal kubwa kuliko mitandao mingine
Hii kitu nimewah kutana nayo ttcl mara mbili 3gb ikagotea kweny 2.3gb its not fair tuna umizana mno ttclTTCL![]()