Mkuu reliable source ndio wewe mwenyewe au umeambiwa tu na mtu wako wa karibu? Tupe more details ili na sisi tukaulize usikute kama walipiga simu, wengine simu zetu inawezekana zilikuwa hazipatikani au kuna mchezo wa kusahau kukupigia ili kupunguza watu. More info please, maana nami niliomba.