Gini
JF-Expert Member
- Oct 11, 2018
- 398
- 385
Nimekuwa mtumiaji wa TTCL kwa muda sasa, mbali na kuwa na changamoto za mtandao ambao kimsingi mi kero lakini imeibuka changamoto nyingine ya kula MBs.
Unajiunga na kifurushi na kupewa MBs 500 lakini namna zinaenda unabaki unashangaa. Na hapo unakuwa umetumia twitter kusoma tu posts, umeingia WhatsApp kusoma meseji na JamiiForums kusoma soma.
Kote huko huja download video wala kuangalia status, ukitumia masaa mawili mfululizo kuwa katika hizo social networks u ajikuta MBs 150 zimekatika. Ni mimi tu au na ninyi waungwana mnakumbana na tatizo hili?
Unajiunga na kifurushi na kupewa MBs 500 lakini namna zinaenda unabaki unashangaa. Na hapo unakuwa umetumia twitter kusoma tu posts, umeingia WhatsApp kusoma meseji na JamiiForums kusoma soma.
Kote huko huja download video wala kuangalia status, ukitumia masaa mawili mfululizo kuwa katika hizo social networks u ajikuta MBs 150 zimekatika. Ni mimi tu au na ninyi waungwana mnakumbana na tatizo hili?
