Kingthaiman
Member
- Dec 11, 2020
- 14
- 6
Nataka nifunge ttcl fibre. Mwenye uzoefu nayo atupe pros and cons.
Ttcl wahuni tuNataka nifunge ttcl fibre. Mwenye uzoefu nayo atupe pros and cons.
Kivipi mkuuTtcl wahuni tu
Hii inapatikana kila eneo au ina sehemu zake special?
Kila eneo sema bei ya kuanzia ingekuwa 60000Hii inapatikana kila eneo au ina sehemu zake special?
Naona wameweka bei ya kiwanjaKi
Kila eneo sema bei ya kuanzia ingekuwa 60000
Hakuna Fiber mbaya nchi hii kwa uelewa wangu, zote zina capacity kubwa kushinda watumiaji, Go for it kama upo eneo ambalo ipo.Nataka nifunge ttcl fibre. Mwenye uzoefu nayo atupe pros and cons.
Hakuna Fiber mbaya nchi hii kwa uelewa wangu, zote zina capacity kubwa kushinda watumiaji, Go for it kama upo eneo ambalo ipo.
77ms ping nzuri sana ukiwa Kibongo bongo kama unatumia pc ushauri wangu go wired. Tafuta Waya wa Ethernet connect kwenye router na pc yako, utapata internet nzuri ambayo ipo stable.Baada ya TTCL kunizungusha miezi mi4 nikaona nichukue Supakasi sasa hivi nimeanza kuona umuhimu wa kufuatilia Fiber tena maana nimeanza kula latency ya hovyo sana nikiwa nacheza game.
Rocket league halihitaji hata bandwidth kubwa 1Mbps inatosha lakini huwezi amini nikiwa nacheza game na mtu pembeni anatumia net tu kawaida hafiki 5Mbps huku kwenye game napata ping ya 450ms hadi 900ms, muda huo huo nikisema nidonwload kitu kwenye device nyingine speed inacheza kwenye 12Mbps hadi 17Mbps.
Ila nikidisconnect device zote napata latency ya 77ms hadi 98ms
Expensive sana
Expensive sana
Hawa jamaa internet yao huwa inazima zima hovyo tu,
Nataka nifunge ttcl fibre. Mwenye uzoefu nayo atupe pros and cons.
Ya laki kwa mwenzi ni nzuri na wanafunga bure, ila watakuja kufunga tarege 7 July 2027

