Dude,mimi nishawahi kujaribu maswala hii na nilifanikiwa vizuri kabisa,lakini kuna faida yake na kuna hasara yake,amini usiamini nimefaidi more thani 5 years wih speed ya kufa mtu 8mb/sec,it happends like this,when i (------) ttcl nilifaidi sana so niliona kama nimchezo mzuri,but sasa hivi hawako kama zamani wanamitambo ambayo inaweza kukujua haponapapo unatumia a/c ya mtu mwingine.na wakikujua tu mjomba kazi unayo.
so it's an advice to you achananayo kabisa utaijuta sana :smile-big: