Wakuu, kuna mtaalam anayejua kuchakachua hii kitu, ni kwa landline na modem za smartAx mt880. Kama unaweza please tuwasiliane kwa pm tubadilishane. Thanx
vipi ya Zantel nayo imefikia wapi maana kipindi cha nyuma kabla hawajabadiri pass word yao watu tulikuwa tunajinafasi mtu akipata tuwasiliane maana hii ya 15,000 kwa 750mb inaumiza kishenzi.