TTCL ADSL Broadband Internet Vs 4G LTE Smile Internet

TTCL ADSL Broadband Internet Vs 4G LTE Smile Internet

Mwana Ilala

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2013
Posts
1,286
Reaction score
488
Hallo JF Members.
Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!???

Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi inayo deliver huduma kwa kiwango kinacho aminika Duniani!??

Naombeni Msaada kuhusu hili kwani TTCL Broadband nao saivi wameshusha Bei(gharama za Bundle). With effect from August First,2013. 10GB watakuwa wanauza kwa Tsh 110,000 wakati Smile wao 10GB wanauza kwa Tsh 118,000.
 
nimeshatumia iyo 4G ya smile... its real 4G ila coverage ndio bado haijawa kubwa hata dar ni maeneo machache ndio utapata!!!! you tube clip haikwami inacheza mwanzo mwisho hata kushusha mzigo kwa download ni fasta sema bei zao zimechangamka pia!!
 
Sina uzoefu na TTCL ADSL. Ila ninatumia Modem ya Smile speed yake ni nzuri sana
 
Sina uzoefu na TTCL ADSL. Ila ninatumia Modem ya Smile speed yake ni nzuri sana

How can you compare one with few thousand subscribers and the other with more than a million subscribers?

Smile haina wateja wakijazana congestion itakuwepo but for now looks good

TTCL is second to none ujue tu kuitumia na what package to subscribe to hawana muda wakukueleza hilo
 
ADSL = wire line
4G LTE = cellular 4th generation
Kuhusu kuaminika duniani lazima itakuwa ADSL kwani 4G LTE sehemu nyingi sana dunia hakuna. Halafu nafikiri siyo fair kulinganisha vitu visivyolingana. Ila kwa Tanzania sina jibu kwani sijawahi tumia ADSL na 4G LTE.
 
How can you compare one with few thousand subscribers and the other with more than a million subscribers?

Smile haina wateja wakijazana congestion itakuwepo but for now looks good

TTCL is second to none ujue tu kuitumia na what package to subscribe to hawana muda wakukueleza hilo

Na mimi nimeongelea muda huu uliopo na uzoefu wa matumizi ya modem ya Smile kwa wakati huu.
 
TTCL hata washushe vip bei zao ni majanga tu nina experience nao reliability = 0

Ulikuwa unatumia package gani mkuu? Pamoja na hujuma za kuzidi TTCL is the ONLY true broadband internet provider in Tanzania, bomba lao ni kubwa, wanaamua kukufungulia maji kwa kadri unavyolipia, ukilipa kiduchu unapata tone moja kwa sekunde, ukilipa pesa ya kueleweka wanakufungulia maji mpaka unayakimbia. Tatizo kubwa liko kwenye huduma kwa wateja=0! Nina clients kadhaa ambao wanapata internet ya TTCL kupitia kwangu, wengi wao ni corporate hivyo wanalipia bandwidth za kuzidi, internet iko fast vibaya, achilia mbali siku wanakuwaga na matatizo ya net labda mkonga umekatika sehem flani hivyo wanakuwa offline wiki mbili, na matatizo mengine ya kiufundi ambapo inalazimika mtu wa mteja aliyeko singida apige simu TTCL dar, then wao wawapigie TTCL singida wawaambie kuna tatizo manyoni!!!!...now this is where i come in, kuhakikisha kuwa kampuni inapata mawasiliano ASAP, "kwa namna yoyote ile". 🙂
 
Hallo JF Members.
Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!???

Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi inayo deliver huduma kwa kiwango kinacho aminika Duniani!??

Naombeni Msaada kuhusu hili kwani TTCL Broadband nao saivi wameshusha Bei(gharama za Bundle). With effect from August First,2013. 10GB watakuwa wanauza kwa Tsh 110,000 wakati Smile wao 10GB wanauza kwa Tsh 118,000.

Natumia SMILE and I'd say it's 4G LTE. It is simply the best as of now they just to price their bundles competitively and increase coverage, but if one can afford it I wouldn't advice them to think twice, just go for it.
 
Ulikuwa unatumia package gani mkuu? Pamoja na hujuma za kuzidi TTCL is the ONLY true broadband internet provider in Tanzania, bomba lao ni kubwa, wanaamua kukufungulia maji kwa kadri unavyolipia, ukilipa kiduchu unapata tone moja kwa sekunde, ukilipa pesa ya kueleweka wanakufungulia maji mpaka unayakimbia. Tatizo kubwa liko kwenye huduma kwa wateja=0! Nina clients kadhaa ambao wanapata internet ya TTCL kupitia kwangu, wengi wao ni corporate hivyo wanalipia bandwidth za kuzidi, internet iko fast vibaya, achilia mbali siku wanakuwaga na matatizo ya net labda mkonga umekatika sehem flani hivyo wanakuwa offline wiki mbili, na matatizo mengine ya kiufundi ambapo inalazimika mtu wa mteja aliyeko singida apige simu TTCL dar, then wao wawapigie TTCL singida wawaambie kuna tatizo manyoni!!!!...now this is where i come in, kuhakikisha kuwa kampuni inapata mawasiliano ASAP, "kwa namna yoyote ile". 🙂

yanatokea matatizo ya kiufundi unakuwa off-line wiki 2 kama unafanya biashara si hasara iyo? na matatizo uwa yanatokea mara kwa mara na ni wazito kutatua kuhusu bundle hilo linaeleweka kwa sasa hivi hawafai zamani ndo walikuwa poa inawezekana wanahujumiwa.
 
Hallo JF Members.
Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!???

Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi inayo deliver huduma kwa kiwango kinacho aminika Duniani!??

Naombeni Msaada kuhusu hili kwani TTCL Broadband nao saivi wameshusha Bei(gharama za Bundle). With effect from August First,2013. 10GB watakuwa wanauza kwa Tsh 110,000 wakati Smile wao 10GB wanauza kwa Tsh 118,000.

ADSL = wire line
4G LTE = cellular 4th generation
Kuhusu kuaminika duniani lazima itakuwa ADSL kwani 4G LTE sehemu nyingi sana dunia hakuna. Halafu nafikiri siyo fair kulinganisha vitu visivyolingana. Ila kwa Tanzania sina jibu kwani sijawahi tumia ADSL na 4G LTE.

Nimetumia Smile Uganda pia nimetumia TTCL Tanzania

Kwanza kabisa SMILE wanatumia Telecom Towers na TTCL wanatumia cables(naomba nisema hii ya ADSL sio usb dongels sababu itakua sawa na SMILE)

TTCL is the Best sababu wanatumia cables endapo utatumia package ambayo haijakulimit speed sababu wanatoa hadi 8mbps bandwith ambayo sio mchezo kwa Tanzania na haina kelele hata kidogo.
Faida ya kutumia cable ni kwamba kunakua na mtambo ambao una ports za kutoa access za internet, mfano labda ports ni mia haiwezekani kuzidisha ukatoa huduma kwa wateja 101 unless umeongeza mtambo mwingine wa kuongeza ports so swala la network congestion linakua halipo.

SMILE is not the best compared na TTCL sababu wanadepend na network Towers na hizo kua congested ni swala la kawaida na speed ya wireless huwezi linganisha na ya Cable hata siku moja. Mtu wa cable atakuacha tu.

Kinachotakia ni TTCL ku improve department yao ya masoko tu
 
Nimetumia Smile Uganda pia nimetumia TTCL Tanzania

Kwanza kabisa SMILE wanatumia Telecom Towers na TTCL wanatumia cables(naomba nisema hii ya ADSL sio usb dongels sababu itakua sawa na SMILE)

TTCL is the Best sababu wanatumia cables endapo utatumia package ambayo haijakulimit speed sababu wanatoa hadi 8mbps bandwith ambayo sio mchezo kwa Tanzania na haina kelele hata kidogo.
Faida ya kutumia cable ni kwamba kunakua na mtambo ambao una ports za kutoa access za internet, mfano labda ports ni mia haiwezekani kuzidisha ukatoa huduma kwa wateja 101 unless umeongeza mtambo mwingine wa kuongeza ports so swala la network congestion linakua halipo.

SMILE is not the best compared na TTCL sababu wanadepend na network Towers na hizo kua congested ni swala la kawaida na speed ya wireless huwezi linganisha na ya Cable hata siku moja. Mtu wa cable atakuacha tu.

Kinachotakia ni TTCL ku improve department yao ya masoko tu

Your argument of cable vs cell towers is one of the BIGGEST misconceptions. Using cable does not mean kuwa ni FASTER it just means utakuwa na RELIABLE connection compared to using towers sababu kuna less interference. Mi natumia "SMILE Tanzania" nikiwa home na TTCL broadband wakati nafanya my short field attachment Dec - January katika benki fulani hivi mjini. I can boldly say based on my experience SMILE bado ipo light years ahead compared to wengine, ttcl inclusive.
And your argument ipo flawed in so many levels, it's like you are implying cable is always better, reliability wise true, speed wise "it used to be".
 
Your argument of cable vs cell towers is one of the BIGGEST misconceptions. Using cable does not mean kuwa ni FASTER it just means utakuwa na RELIABLE connection compared to using towers sababu kuna less interference. Mi natumia "SMILE Tanzania" nikiwa home na TTCL broadband wakati nafanya my short field attachment Dec - January katika benki fulani hivi mjini. I can boldly say based on my experience SMILE bado ipo light years ahead compared to wengine, ttcl inclusive.
And your argument ipo flawed in so many levels, it's like you are implying cable is always better, reliability wise true, speed wise "it used to be".

Nimeitumia hiyo SMILE Uganda na nikahamia Orange mkuu.... Pia TTCL nimetumia sana na current natumia TTCL, watu wanaiongea sababu wanaitumia ndivyo sivyo.

Mfano bank unapata labda 12mbps halafu una users wa compyuta zaidi ya 20 unategemea hiyo bandwith itatosha au ni kupoteza muda.
 
Nimeitumia hiyo SMILE Uganda na nikahamia Orange mkuu.... Pia TTCL nimetumia sana na current natumia TTCL, watu wanaiongea sababu wanaitumia ndivyo sivyo.

Mfano bank unapata labda 12mbps halafu una users wa compyuta zaidi ya 20 unategemea hiyo bandwith itatosha au ni kupoteza muda.

We umeongelea experience yako na mimi nimesema yangu, differences in speed are day and night from my experience... Mi sijatumia SMILE Uganda, nimetumia SMILE Tanzania na TTCL not in an office environment tu and based on MY experience I'll pick SMILE TZ anyday of the week and twice on Sundays....
Not disrespecting TTCL but I had higher expectations with all this "mkongo" wa taifa thingy, but hey, to each their own... It hasn't lived up to the hype last I checked whereas smile delivered what they promised...
 
We umeongelea experience yako na mimi nimesema yangu, differences in speed are day and night from my experience... Mi sijatumia SMILE Uganda, nimetumia SMILE Tanzania na TTCL not in an office environment tu and based on MY experience I'll pick SMILE TZ anyday of the week and twice on Sundays....
Not disrespecting TTCL but I had higher expectations with all this "mkongo" wa taifa thingy, but hey, to each their own... It hasn't lived up to the hype last I checked whereas smile delivered what they promised...

Hapo umenena, kila mtu aendelee kuamini anachoamini.
 
We umeongelea experience yako na mimi nimesema yangu, differences in speed are day and night from my experience... Mi sijatumia SMILE Uganda, nimetumia SMILE Tanzania na TTCL not in an office environment tu and based on MY experience I'll pick SMILE TZ anyday of the week and twice on Sundays....
Not disrespecting TTCL but I had higher expectations with all this "mkongo" wa taifa thingy, but hey, to each their own... It hasn't lived up to the hype last I checked whereas smile delivered what they promised...

ndugu fanya utafiti wa kina ttcl ni kitu ingine
 
Nimetumia Smile Uganda pia nimetumia TTCL Tanzania

Kwanza kabisa SMILE wanatumia Telecom Towers na TTCL wanatumia cables(naomba nisema hii ya ADSL sio usb dongels sababu itakua sawa na SMILE)

TTCL is the Best sababu wanatumia cables endapo utatumia package ambayo haijakulimit speed sababu wanatoa hadi 8mbps bandwith ambayo sio mchezo kwa Tanzania na haina kelele hata kidogo.
Faida ya kutumia cable ni kwamba kunakua na mtambo ambao una ports za kutoa access za internet, mfano labda ports ni mia haiwezekani kuzidisha ukatoa huduma kwa wateja 101 unless umeongeza mtambo mwingine wa kuongeza ports so swala la network congestion linakua halipo.

SMILE is not the best compared na TTCL sababu wanadepend na network Towers na hizo kua congested ni swala la kawaida na speed ya wireless huwezi linganisha na ya Cable hata siku moja. Mtu wa cable atakuacha tu.

Kinachotakia ni TTCL ku improve department yao ya masoko tu

Ni kweli wana namba yao wanadai ni free call +255800100 haiiti,na wanakuambia wana vi bundle lkn huoni namna ya kujiunga hata kwenye web yao.
Nafikiri zile purity za sasatel kuifificha TTCL bado ipo kuna aja ya uongozi kuyatambua hata.
 
Ni kweli wana namba yao wanadai ni free call +255800100 haiiti,na wanakuambia wana vi bundle lkn huoni namna ya kujiunga hata kwenye web yao.
Nafikiri zile purity za sasatel kuifificha TTCL bado ipo kuna aja ya uongozi kuyatambua hata.

Mkuu unajua ttcl sales office nadhani hakuna... Wanaishi kwa uwezo wa mungu na kusubiri wateja wanaoielewa.

Hawa jamaa voda,sijui tigo,airtel na smile wako vizuri kwenye matangazo sasa kama mtu ni kilaza utakuta anakurupuka kununua bila hata kujua kwangu kuna coverage ya 3g au vipi, mwisho wa siku anatipia lawama isp na kuishia kununua modem za mitandao yote. Pia unakuta hata microwave nayo anatumia... Yani balaa.

TTCL is the best kama dsl imefika maeneo yako nashauri mtu kuitumia.
 
Jamani mimi ni muhanga wa hili tatizo yani nmetumia modem zote kasoro smile ila ttcl ninayo home na kama ningepata mtu wa kunishauri kuhusu bundle nzuri ya kulipia ambayo naweza pata mpaka 8mb/s itakua vizuri zaidi
Natanguliza shukrani za dhati
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom