Mwana Ilala
JF-Expert Member
- Jan 29, 2013
- 1,286
- 488
Hallo JF Members.
Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!???
Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi inayo deliver huduma kwa kiwango kinacho aminika Duniani!??
Naombeni Msaada kuhusu hili kwani TTCL Broadband nao saivi wameshusha Bei(gharama za Bundle). With effect from August First,2013. 10GB watakuwa wanauza kwa Tsh 110,000 wakati Smile wao 10GB wanauza kwa Tsh 118,000.
Naomba kujua nani kinara wa Speed ya ukweli kwenye issue ya Network kati ya hao wawili nlowataja hapo juu!???
Je, Kitaalamu ADSL Internet Broadband Vs 4G LTE Internet ni ipi inayo deliver huduma kwa kiwango kinacho aminika Duniani!??
Naombeni Msaada kuhusu hili kwani TTCL Broadband nao saivi wameshusha Bei(gharama za Bundle). With effect from August First,2013. 10GB watakuwa wanauza kwa Tsh 110,000 wakati Smile wao 10GB wanauza kwa Tsh 118,000.