Japo uzi wa kale naomba kuuliza,habari wadau...
nauza vifaa vya kuprint tshirt used kwa atakayehitahiji..
1. screen printing machine milioni 4. vastex 4 color x 4 station na flash dryer yake.. bado bora kabisa... uje na fundi wako kukagua..
2. heat press machine used laki 6
3. heat press machine mpya laki 9.
picha za mashine zinapatikana humu kwenye page ya biashara
what you think, what we print (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
sababu ya kuuza na upgrade workshop kwa kufunga mashine kubwa zaidi..
mashine ya screen imefika ya station 8... na heat press zimefika size kubwa zaidi
Japo uzi wa kale naomba kuuliza,
mkuu hizi film wapi naweza kupata na bei zake tafadhali kama unajua.
View attachment 1377960
Ni A4 au A3?Nenda kariakoo mtaa wa msimbazi dukani kwa saju.. karibu na sheli ya big bon... moja 1500
Laser film za A4...!?Nenda kariakoo mtaa wa msimbazi dukani kwa saju.. karibu na sheli ya big bon... moja 1500
A 4Ni A4 au A3?
Scree printing inafanya kazi gani naweza wekeza humo.habari wadau...
nauza vifaa vya kuprint tshirt used kwa atakayehitahiji..
1. screen printing machine milioni 4. vastex 4 color x 4 station na flash dryer yake.. bado bora kabisa... uje na fundi wako kukagua..
2. heat press machine used laki 6
3. heat press machine mpya laki 9.
picha za mashine zinapatikana humu kwenye page ya biashara
what you think, what we print (@tshirt_garage_mabibo_hostel) • Instagram photos and videos
sababu ya kuuza na upgrade workshop kwa kufunga mashine kubwa zaidi..
mashine ya screen imefika ya station 8... na heat press zimefika size kubwa zaidi
Hizo ni inkjet, ukiweka kwenye laser printer huyeyushwa, ila zipo za laser pia zinazohimili heat.Laser film za A4...!?
Ngoja nipekuepekue chimbo, ninayo Km ream nzima.
Shukran mkuu ntafanya mpango nifike hapo.