Tsh. 7500/- KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU, NI SAWA?

Tsh. 7500/- KWA WANAFUNZI ELIMU YA JUU, NI SAWA?

Chavuma

Member
Joined
Jul 17, 2011
Posts
14
Reaction score
1
Jana bajeti ya wizara ya elimu imewasilishwa mjengon! Wizara imeongeza kias cha sh. 2500/- kwa siku, kama pesa ya kujikimu na sasa ujumla wa pesa hyo kuwa Tsh.7500/- per day! Je serikal imezingatia uhalisia kwa wale wanaoish off campus? Au ndo ulegelege?
 
Jana bajeti ya wizara ya elimu imewasilishwa mjengon! Wizara imeongeza kias cha sh. 2500/- kwa siku, kama pesa ya kujikimu na sasa ujumla wa pesa hyo kuwa Tsh.7500/- per day! Je serikal imezingatia uhalisia kwa wale wanaoish off campus? Au ndo ulegelege?
Ofcourse haijazingatia sana,,, this government is tooo corrupt, wanachuo washukuru Mungu hata kwa hilo walilopewa,,, secta nyingi nyingine bado hali ni mbaya sana, soo japokua hiyo pesa haitoshi, wanachuo wajitahidi tu kwenda nayo, maana serikali imeshawasaliti wananchi wake zamani sana
 
Back
Top Bottom