Tsh 65m/- bei ya kuanzia kuuza eneo kubwa

Tsh 65m/- bei ya kuanzia kuuza eneo kubwa

Highlander

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2012
Posts
3,093
Reaction score
1,077
Pana nyumba. Eneo lina ukubwa wa mita 35 x 25. Ni karibu na EPZ Ubungo, Viwanda vya Ubungo, Chuo Kikuu Mlimani na mfumo wa Usafiri kuelekea katikati ya jiji vimekaa vizuri. Pana hati ya Makazi. Wahi kupaona na kupanunua. Bei ya kuanzia Tsh. 65m/-

Details nipe PM
 

Attachments

Pana nyumba. Eneo lina ukubwa wa mita 35 x 25. Ni karibu na EPZ Ubungo, Viwanda vya Ubungo, Chuo Kikuu Mlimani na mfumo wa Usafiri kuelekea katikati ya jiji vimekaa vizuri. Pana hati ya Makazi. Wahi kupaona na kupanunua. Bei ya kuanzia Tsh. 65m/-

Details nipe PM


Mkuu Milioni 65 halafu eneo lina hati ya makazi?
 
35 * 25 65ml halafu Ubungo?? Hapo panawafaa wafanyabiashara zaidi.
 
Mkuu Milioni 65 halafu eneo lina hati ya makazi?

Aika, si ufike sait? Pengine utapapenda, ingawa target CLIENT ni mtu anataka sehemu ya kujenga Labda Guest House, Labda Baa kubwa, Mini Supermaket, au kitu kikubwa cha biashara, Kwa kweli eneo ni kubwa tosha kufanya kitu cha maana. Panafikika kwa gari, miundombinu ya Maji na Umeme vipo ingawa maji hayatoki kwenye bomba zake. Usiwe na hizo 65 tu. Ziwepo na nyingine za kupaboresha. Kingine nimekwambia hiyo ni bei ya kuanzia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom