Tsh 500k napata TV gani nzuri?

Tsh 500k napata TV gani nzuri?

Pantomath

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2019
Posts
842
Reaction score
3,483
32"

Smart,
4K+HDR, LED,
Bluetooth,
HDMI 4 Ports ( at least one 2.1)..

Hata used iliyosimama sawaaa.

Nakaribisha ushauri pia kwa wajuvi,

Ni vizuri ikawa kati ya LG, SONY & SAMSUNG.

Update
Nimeongeza bei mpk 700k maximum.
 
32", 4K?????????
Nuh bruh

Too small to notice any difference btn HD(1080) and UHD(4K) at any sort normal tv viewing distance.

Hii sio kama simu boss unaisogeza karibu na uso unaona pixels kabisa, tv unakaa mbali,

Bora upunguze bei uchukue 1080p au uongeze mpk 55"
 
32"

Smart,
4K+HDR, LED,
Bluetooth,
HDMI 4 Ports ( at least one 2.1)..

Hata used iliyosimama sawaaa.

Nakaribisha ushauri pia kwa wajuvi,

Ni vizuri ikawa kati ya LG, SONY & SAMSUNG.
Ukitaka unotice 4k lazima unique inch 55 kuendelea
32inches hata kama 4k unapoteza mda hutoona bora ununue y kawaid
 
nilichogundua hata mwenye shida ya tv hajui tv ya 4k ndo inakuaje ndomaana anathubutu kutafuta tv yenye sifa hiyo ya inch 32.
 
Mmeshindwa kunisaidia, wote mliopita humu washamba tuu
 
nilichogundua hata mwenye shida ya tv hajui tv ya 4k ndo inakuaje ndomaana anathubutu kutafuta tv yenye sifa hiyo ya inch 32.
Kwanza sijawahi ona 4K ya 32" popote na sijui kama zipo
 
Mmeshindwa kunisaidia, wote mliopita humu washamba tuu
Nenda huu uzi una majibu yote na wauzaji na majibu utapata uko. Kabla ya kuanzisha uzi tafuta kwanza unaweza kuta solution ipo we unajisumbua bure kuja kulaumu watu

 
Nenda huu uzi una majibu yote na wauzaji na majibu utapata uko. Kabla ya kuanzisha uzi tafuta kwanza unaweza kuta solution ipo we unajisumbua bure kuja kulaumu watu

Wewe ndio umenisaidia,
Asante
 
Back
Top Bottom