Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 24,706
- 44,087
Majaribio ya Iran ya kurusha satellite yamefeli hatua za mwanzo kabisaView attachment 1194144
Kwani Trump ni memba sasa wa JF?Kwa hiyo wewe na nchi yako mmefaidika vipi na kuferi majaribio hayo?
Huu udaku kama udaku mwengine hakuna walipo fail waajemiMajaribio ya Iran ya kurusha satellite yamefeli hatua za mwanzo kabisaView attachment 1194144View attachment 1194145
It's very interesting, US is always the point of reference in similar discourse.Kufail kawaida mbona shuttles kadhaa za USA zilisha lipuka na kuua watu mara zaidi ya moja
Ni kwasababu Trump amesema hivyo kama ana wa mock vileIt's very interesting, US is always the point of reference in similar discourse.