Trump ni hatari kwa usalama wa dunia

Trump ni hatari kwa usalama wa dunia

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
13,680
Reaction score
58,675
Check out @realDonaldTrump's Tweet:

Trump amekuwa mnafiki sana mtu ambaye si wa kumwamini sana....

Trump akishinda sehemu kwenye kura za maoni anafurahia sana na kusema big win....

Lakini akishindwa anaanza kulia lia Mara uchaguzi umechezewa....

Kiukweli huyu jamaa simwelewi kabisa wanaotoa kura za maoni za kushinda kwake baadhi ya majimbo ni wale wale wanaotoa kushinda kwa Clinton....

Iweje analalamika sana kuwa uchaguzi umechezewa wakati anaposhindwa ?

Akishinda asemi kuwa uchaguzi umechezewa?

Leo tena kawashambulia wasomali wanaoishi nchini marekani kuwa wanatakiwa kuondoka maana wanaleta ugaidi .

Sioni tena nafasi yake yakushinda uchaguzi huu kama akishinda dunia itakuwa imeingia kwenye mgogoro mzito wa kidini hasa kwa Waislamu na wakiristo. ...
 
Nimemuona Hillary Clinton akisema Trump hafai kwakuwa amesema hataki na haungi mkono vitendo vyote vya kishoga.

Hii inamaanisha tetea Clinton, tetea ushoga.
 
Nimemuona Hillary Clinton akisema Trump hafai kwakuwa amesema hataki na haungi mkono vitendo vyote vya kishoga.

Hii inamaanisha tetea Clinton, tetea ushoga.
Mkuu wote ni wanafiki lakini huyu ni unafiki zaidi
 
Usalama upi unaoongelea mkuu

Wanao tishia usalama ni hao kina Hillary clinton walio kaa
Kwenye nyadhifa na wakasababisha vita kwenye baadhi ya nchi
Zinazoendelea hadi sasa.
Mwana Mama nyoka huyo

Tatzo ni kwamba huyo nyoka ndo atashinda
 
Ushoga Tena Duuuuuuhh

Waafrika Tujiandae Kwakweli
Maswala ya Clinton kuunga mkono ushoga wewe Mtanzania unajiandaa nini, au upo marekani? Unafikiri Clinton anaweza kumlaghai Mkulu kupitisha ushoga.
 
Hakuna mmarekani aliye mwema kwa dunia.
 
African continent should be recolonized specifically Tz.
 
una matani cha chama kikuu cha upinzani tz maana wana hako katabia "Makamanda hakiiii imetendeka"
 
Trump angetulia na kuleta sera za kueleweka angeshinda tena kwa kishindo kwa kupitia hizo barua pepe za siri za hillary,lkn sio mtulivu hats akiongea cha maana anaonekana anabwabwaja tu coz hana ile staha,utulivu na umakini na huo ndio udhaifu utakaomwangusha
 
Trump angetulia na kuleta sera za kueleweka angeshinda tena kwa kishindo kwa kupitia hizo barua pepe za siri za hillary,lkn sio mtulivu hats akiongea cha maana anaonekana anabwabwaja tu coz hana ile staha,utulivu na umakini na huo ndio udhaifu utakaomwangusha
Yes angeshinda kwa garika la kura
 
Back
Top Bottom