TRUMP KUHUDHURIA G7 KESHO.

marcus rojo

JF-Expert Member
Mar 19, 2017
1,496
5,317
Raisi wa marekani Donard J Trump kesho anatarajia kuhudhuria kwa Mara ya kwanza mkutano wa G7, mda mfupi uliopita Donard ametoa hotuba fupi mbele ya viongozi wa NATO huko BRUSSELS.
1b49037abdcfa92aefad235e4e4aa4e3.jpg
56a086ce9e643fc481471e60682c72ec.jpg
159b0227ae67a0d72d1a348ce0245239.jpg
cdf789c2bc5c3283ffcbb86bdc443940.jpg
da9eff3d8f671755d245f29f1b66c86c.jpg
 
Huyo ndio kidume. Wajinga wajinga akina Merkel na Obama wanaleta upuuzi kwenye maisha ya watu; mtu anakuja kukumaliza nyumbani kwako halafu unamchekea kwa kigezo cha haki za binadamu? Mbona yeye hatendi haki tena kwa wasio na hatia.

Nimeipenda ile speech ya Trump akiwapasha viongozi wa nchi za kiarabu na kiislam mbele ya Mfalme wa Saudia; kazi kulea na kufadhili magaidi halafu yanakuja kuwarudi ninyi wenyewe; kawaambia 95% ya waathirika wa ugaidi ni waarabu ambao ndio hao hao wanaulea. Was so nice speech.
 
Huyo ndio kidume. Wajinga wajinga akina Merkel na Obama wanaleta upuuzi kwenye maisha ya watu; mtu anakuja kukumaliza nyumbani kwako halafu unamchekea kwa kigezo cha haki za binadamu? Mbona yeye hatendi haki tena kwa wasio na hatia.

Nimeipenda ile speech ya Trump akiwapasha viongozi wa nchi za kiarabu na kiislam mbele ya Mfalme wa Saudia; kazi kulea na kufadhili magaidi halafu yanakuja kuwarudi ninyi wenyewe; kawaambia 95% ya waathirika wa ugaidi ni waarabu ambao ndio hao hao wanaulea. Was so nice speech.
Fact ni zama za kuambiana ukweli tu
 
Huyo ndio kidume. Wajinga wajinga akina Merkel na Obama wanaleta upuuzi kwenye maisha ya watu; mtu anakuja kukumaliza nyumbani kwako halafu
unamchekea kwa kigezo cha haki za binadamu? Mbona yeye hatendi haki tena kwa wasio na hatia.

Nimeipenda ile speech ya Trump akiwapasha viongozi wa nchi za kiarabu na kiislam mbele ya Mfalme wa Saudia; kazi kulea na kufadhili magaidi halafu yanakuja kuwarudi ninyi wenyewe; kawaambia 95% ya waathirika wa ugaidi ni waarabu ambao ndio hao hao wanaulea. Was so nice speech.

Jifunze Historia naamini ukiifahamu hutaongea hayo unayoongea
 
Back
Top Bottom