Trump kuhamia Florida imekaaje?

kahamisha makazi yake binafsi labda na kampuni zake toka New york hadi Florida ila sio kuhamisha white house.

Na aliweka kibwagizo twitter
Florida ana nyumba zake binafsi pia.
 
Frolida ndipo ilipo camp david ? Kama ni hapo,ile ni ikulu kabisa ina kila kitu,presidential retreat za wamarekani zina kila kitu
Hata korea kim chini ya chumb chake kuna military complex anawezakuanzisha vita ya nuclear akiwa chumbani
Camp David ipo Maryland
 
Kama rais wenu wa Tanganyika aliweza kuhamia sehemu remote kama Dodoma kutoka jijini Mzizima. Itashindikana vipi DT kushindwa kuhama kutoka NY kwenda Frolaida ?
 
Ngoja Trump aje kujibu sisi tupambane na ikulu yetu ya Dar na makazi ya ndugu jiwe Dodoma!
 
Jamaa umejitahidi sana kuandika florida lakini umeshindwa dah. Hili tatizo la R na L ni janga la taifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…