Trump: Iran ndio aliye ishambulia Saudia ila sitaki vita na Iran

RTI

JF-Expert Member
Dec 20, 2018
2,423
7,124
Rais wa marekani Dornad Trump amesema, tiyari wamesha tambua ni nani aliye husika na shambulizi kwenye mtambo ya kuzalisha mafuta ya Saudia arabia, na si mwingine bali ni Iran lakini pamoja na hilo hataki kabisa vita na Iran.
Akiongea leo usiku katika ikulu ya marekani amesema na hapa namnukuu ,tiyari tumesha mtambua aliye husika na mashambulizi kwenye vituo vya mafuta vya Saudia,na si mwingine bali ni Iran,lakini pamoja na hayo sitaki kabisa vita na Iran na nitafanya kila liwezekanalo kuepusha hilo,mwisho wa kumnukuu.
Matamshi hayo yana kuja baada ya hapo jana kuandika kwenye ukurasa wake wa tweet ya kwamba alikuwa tiyari kujibu kwa njia za kijeshi kwa yeyote yule aliye husika katia mashambulizi hayo.
Chanzo : DW Swahili.
 
Trump ni bwege hivi. Houthi walosema ni wahusika anafanya hawana akili. Hivi mbona Saudi Arabia inavyoua maelfu kule Yemen na kuharibu miundombinu yote ya shule, hospitali na mengine ye anafunga domo lake. Rais wa Urusi kasema yuko tiyari kuiuzia Saudi mitambo ya S400 kulinda anga lake
 
Lol. .wamaanisha kwamba marekani inaanza Kupoteza ushawishi mashariki ya kati na mrusi anaanza kuteka soko. .hehehehe @zekukoyo atapinga
Trump ni bwege hivi. Houthi walosema ni wahusika anafanya hawana akili. Hivi mbona Saudi Arabia inavyoua maelfu kule Yemen na kuharibu miundombinu yote ya shule, hospitali na mengine ye anafunga domo lake. Rais wa Urusi kasema yuko tiyari kuiuzia Saudi mitambo ya S400 kulinda anga lake
 
... akimchapa mtabadili kauli na kuongea mengine! Anyway, vyovyote iwavyo, Ayatollah ni lazima aondoke iwe kwa amani au kwa shari.
Yani ushindwe kumwondoa Bashar al-Assad wa Syria uje kumuondoa Ayatollah, kiongozi wa kidini. Au hujui kuwa zaidi ya 85% ya wairan ni washia. Kumbuka Iran ilipigana na Irak ya Saddam kwa takriban miaka 8. Irak chini ya msaada wa US akafeli, Iran na vikwazo vyote alishinda
 
Lol. .wamaanisha kwamba marekani inaanza Kupoteza ushawishi mashariki ya kati na mrusi anaanza kuteka soko. .hehehehe @zekukoyo atapinga
Saudi hawezi nunua system nzito za Urusi. Labda akinunua mabomu na bulletproof vests. Yule hana maamuzi ya kupingana na US maana muda wowote mkono wa Marekani ukitoka hana pa kujitetea. Qatar, Iran, Houthi wote maadui zake. Israel hana uadui nae lakini hamtakii mema. Kwanza ndani ya system zao hawakubaliani sana na MBS
 
@zekukoyo Kilatha na pro western wengine natamani waje waione hii habar halaf watie neno

US Hana Ubavu Wakuingia Vitani Na IRAN Japo IRAN Wala Hajahusika Nahili Shambulio
Nadhani kinachoendelea ni kielelezo tosha kwanini kumtwanga Iran inataka mipango kwanza, kitu ambacho wewe utaki kuelewa umejiaminisha watu wanamwogopa.

Shida sio kumtwanga Iran bali kuhakikisha wanalinda supply ya mafuta wakati wanatembeza kichapo. Umeona hiyo refinery moja tu ilivyochukua headline.

Hayo hapo Harmouz karibu 30% of daily global consumption inapita na Iran hizo drones anazo za kumwaga za kutungua meli. Pili ana proxy wars za kupasua mabomba kadhaa yanayopita Egypt, Iraq ndio kwao wakiamua kukata supply ni rahisi sana na Middle East karibu kote kuna proxies.

Hilo ndio tatizo defending those strategic areas ambazo ni muhimu kwa uchumi wa dunia.

Hao Saudi Arabia wazembe tu, hila Israel washayazoea hayo makombora ya Iran, hezbollah kila siku wanarusha hizo guided missles na Israel wanazi neutralise huko huko angani.

Hila wababe wakimuamulia Iran hana huo ubavu watakachoanza nacho ni radar zake na satellite; marekani atojali habari za Kessler syndrome when it comes to war.

Mwisho mzee wa fitna ana Brexit awezi kujiingiza kwenye mgogoro kwa sasa, na nadhani unaona sakata lenyewe la Brexit lilivyo complicated.
 
Hahahahahaha

Siasa ya Mashariki ya Kati tamu sana

Alieiweza Vyema ni yule Mjaluo Barack Obama ambae alitumia ile mbinu ya Arab Spring kuondoa kina Gadafi lakin hawa Mipua mikubwa wanajifanya wana akili nyingi lakin wananchemka japo Wazungu wanam term Obama yupo kwny Marais bomu zaid kuwahi tokea America since 1776 ( yupo top ten)

Osama plus Gadafi walimalizwa bila ya Kupeleka Maelfu ya Askari kuua watu hovyo


Trump anaigharimu America kama ambavyo Bin Salmaan anaigharimu Saudia
 
Nadhani kinachoendelea ni kielelezo tosha kwanini kumtwanga Iran inataka mipango kwanza, kitu ambacho wewe utaki kuelewa umejiaminisha watu wanamwogopa.

Shida sio kumtwanga Iran bali kuhakikisha wanalinda supply ya mafuta wakati wanatembeza kichapo. Umeona hiyo refinery moja tu ilivyochukua headline.

Hayo hapo Harmouz karibu 30% of daily global consumption inapita na Iran hizo drones anazo za kumwaga za kutungua meli. Pili ana proxy wars za kupasua mabomba kadhaa yanayopita Egypt, Iraq ndio kwao wakiamua kukata supply ni rahisi sana na Middle East karibu kote kuna proxies.

Hilo ndio tatizo defending those strategic areas ambazo ni muhimu kwa uchumi wa dunia.

Hao Saudi Arabia wazembe tu, hila Israel washayazoea hayo makombora ya Iran, hezbollah kila siku wanarusha hizo guided missles na Israel wanazi neutralise huko huko angani.

Hila wababe wakimuamulia Iran hana huo ubavu watakachoanza nacho ni radar zake na satellite; marekani atojali habari za Kessler syndrome when it comes to war.

Mwisho mzee wa fitna ana Brexit awezi kujiingiza kwenye mgogoro kwa sasa, na nadhani unaona sakata lenyewe la Brexit lilivyo complicated.
Naona mnavyo zidi kuweweseka.
 
Mimi ningekuwa karibu na viongozi wa Saudia ninge washauri wasimuani sana trump,maana anaweza kuwachoche wakanzisha msala alafu yeye akala kona.
Huyu jamaa siyo wa kuamini hata kidogo kabisa.
Upinzani ataupata huko huko Marekani manake kila mwenye akili timamu including Wamarekani wenyewe wanajua Trump aliingia Ikulu huku akiwa ameikamia Iran na Korea ya Kaskazini!
 
Nadhani kinachoendelea ni kielelezo tosha kwanini kumtwanga Iran inataka mipango kwanza, kitu ambacho wewe utaki kuelewa umejiaminisha watu wanamwogopa.

Shida sio kumtwanga Iran bali kuhakikisha wanalinda supply ya mafuta wakati wanatembeza kichapo. Umeona hiyo refinery moja tu ilivyochukua headline.

Hayo hapo Harmouz karibu 30% of daily global consumption inapita na Iran hizo drones anazo za kumwaga za kutungua meli. Pili ana proxy wars za kupasua mabomba kadhaa yanayopita Egypt, Iraq ndio kwao wakiamua kukata supply ni rahisi sana na Middle East karibu kote kuna proxies.

Hilo ndio tatizo defending those strategic areas ambazo ni muhimu kwa uchumi wa dunia.

Hao Saudi Arabia wazembe tu, hila Israel washayazoea hayo makombora ya Iran, hezbollah kila siku wanarusha hizo guided missles na Israel wanazi neutralise huko huko angani.

Hila wababe wakimuamulia Iran hana huo ubavu watakachoanza nacho ni radar zake na satellite; marekani atojali habari za Kessler syndrome when it comes to war.

Mwisho mzee wa fitna ana Brexit awezi kujiingiza kwenye mgogoro kwa sasa, na nadhani unaona sakata lenyewe la Brexit lilivyo complicated.
Huu ndo uchambuzi halisi! So tuseme Kama Iran atapigwa akiamua kukinukisha anaweza kukata 30% ya supply ya mafuta duniami
 
Kama gobore limeweza kulipua mitambo ya mafuta na limeweza kuingia katika anga ya waarabu bila ya kuonekana unadhani je kama zi drone OG siwanapiga ikulu ya mfalme.Mawigi anajua Iran ukilianzisha patakucha saudia na Islael wataaapata tabu sana!
Wakapiga na Israeli, basi au pale Washington ili tuwakubali. Maana mnawasifia sana aende apige kinu pale California. Uone dunia kama haikusimama ukaona damu inamwagika kama kipindi kile cha Osama mwaka 2001
 
Back
Top Bottom