Trump Impechment hearings Live

Kaka unaishi Marekani nini?
 
Huu ujinga na uongo wa kijiweni.
 
Aah wapi, tukiondoa tuu CCM na kuunda katiba mpya iliyo na uwazi zaidi na kutokuwepo na mhimili au mtu aliyejichimbia zaidi basi yote yawezekana.
Tunaona South Africa wanavyompelekesha Rais wao akifanya makosa
Te te te te te te te te...!
Marehemu Kafufuka NYUMBA ya Urithi Haiuzwi
Kuing'ngoa CCM ni ndoto ya Abunuasi, hasa kwa wapinzani vilaza tulio nao
 
Te te te te te te te te...!
Marehemu Kafufuka NYUMBA ya Urithi Haiuzwi
Kuing'ngoa CCM ni ndoto ya Abunuasi, hasa kwa wapinzani vilaza tulio nao
Vyama vyetu sio vilaza vilaza ni raia wa nchi kama wewe wenye mawazo ya aina yako
 
Hakuna kitu kama hicho,kisheria lazima ujibu na kutoa ushahidi kisheria,yaani unataka kumuondoa Rais wa nchi makarakani kwa kutumia hearsay?? ,What a stupidity.
Wewe naye kwa kujifanya mjuaji!!
 
Nonsense!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…