Trump baba wa dunia ya sasa

Trump baba wa dunia ya sasa

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
61,023
Reaction score
36,865
Katoa oda kesi ya Netanyahu sitaki kusikia.

Hakimu kaweweseka Kahairisha Kesi.

Rwanda na Congo wameitwa niwasaidiaje wakajieleza.

Akaulizwa Marekani unapata nini wakajieleza.

Kaahidi miundo mbinu na ndege kadhaa za kubeba malighafi kwenda wanapotaka.

Nasubiria Sudan.
 
Katoa oda kesi ya Netanyahu sitaki kusikia.

Hakimu kaweweseka Kahairisha Kesi.

Rwanda na Congo wameitwa niwasaidiaje wakajieleza.

Akaulizwa Marekani unapata nini wakajieleza.

Kaahidi miundo mbinu na ndege kadhaa za kubeba malighafi kwenda wanapotaka.

Nasubiria Sudan.
NO REFORMS NO ELECTION, Watanzania wanajua vyama vingine nje ya CHADEMA ni Mali ya CCM hivyo uchaguzi bila CHADEMA tafsiri yake ni kwamba CCM inasimama peke yake kwenye uchaguzi na kujipigia kura.NO REFORMS NO ELECTION Hesabu zetu tunazifungia hapo.
 
Back
Top Bottom