Trump azidi kukataliwa

Trump azidi kukataliwa

Hapo mwanzo nilikuwa simpend trump lkn sasa hivi jamaa namkubali coz ni msema kweli.
 
Kipind cha kampeni yake bwana Trump alishawahi kuckika akitamka juu ya kutawaliwa tena kwa Africa, ili mna lizungumziaje wadau..
 
Japo simsupport Trump kunafigisufigisu nyingine either zimeongezewa chumvi ama Baadhi ya Republicans wamekosa busara..
At this stage,kumtoa Trump haitasaidia hata kidogo.Bado wako kwenye lose-lose situation tu.

Mkuu hizo ni kampeini za kisiri siri zinazo enezwa na McCain akishirikiani na Jeb Bush - wasijifanye ni wasemaji wa raia wote wa USA , kundi la McCain na Establishnent yote wanaogopa kupoteza naslahi yao ya kinyonyaji pindi Trump akingia madarakani - wapiga kura wengi wanamkubali sana Trump licha ya vyombo vya habari hasa MSM kumkalia vibaya Trump na kutoa opinion polls za kupika zenye lengo ya kuwachanganya akili wapiga kura - uzuri Wamarekani wengi wamekwisha shitukia njama hizo, wanajua watampigia nani kura ya ndiyo regardless ya opinion polls.
 
Kama ameweza kusema kuwa Barack Obama na Bi Clinton ndyo founder wa Islamic state atakuwa mzima kweli.
Unafikiri founder ni nani? Trump anasema ukweli hadi analitiza hilo ndo kosa lake tuu
 
Mkuu hizo ni kampeini za kisiri siri zinazo enezwa na McCain akishirikiani na Jeb Bush - wasijifanye ni wasemaji wa raia wote wa USA , kundi la McCain na Establishnent yote wanaogopa kupoteza naslahi yao ya kinyonyaji pindi Trump akingia madarakani - wapiga kura wengi wanamkubali sana Trump licha ya vyombo vya habari hasa MSM kumkalia vibaya Trump na kutoa opinion polls za kupika zenye lengo ya kuwachanganya akili wapiga kura - uzuri Wamarekani wengi wamekwisha shitukia njama hizo, wanajua watampigia nani kura ya ndiyo regardless ya opinion polls.


...mkuu unataka kuniambia vyombo vyote vya habari vinatoa opinion polls za kupika?! I mean...vyote?!..
C'mon now!
 
...mkuu unataka kuniambia vyombo vyote vya habari vinatoa opinion polls za kupika?! I mean...vyote?!..
C'mon now!

Mkuu Slipup kidogo - naona nilionja one too many ya tots za Jack Daniel's Old No.7!!

Neno sahihi ni "baadhi ya vyombo vya habari" na siyo vyombo VYOTE.
 
Mkuu Slipup kidogo - naona nilionja one too many ya tots za Jack Daniel's Old No.7!!

Neno sahihi ni "baadhi ya vyombo vya habari" na siyo vyombo VYOTE.


Hahah!, it's all good mkuu 🙂
Enjoy the rest of the weekend.
 
Trump ni mropokaji. I don't know what else to say. Lakini labda wengine wanaona kuropoka ovyo na kugeuza maneno kila uchao ni kusema kweli. Yafaa kuepuka ushabiki na kuangalia evidence. Wilful ignorance haisaidii katika kuyaelewa mambo yanavyoendelea.
Ndio kaongea ukweli ni bora trump ni msema kweki
 
Mkuu hizo ni kampeini za kisiri siri zinazo enezwa na McCain akishirikiani na Jeb Bush - wasijifanye ni wasemaji wa raia wote wa USA , kundi la McCain na Establishnent yote wanaogopa kupoteza naslahi yao ya kinyonyaji pindi Trump akingia madarakani - wapiga kura wengi wanamkubali sana Trump licha ya vyombo vya habari hasa MSM kumkalia vibaya Trump na kutoa opinion polls za kupika zenye lengo ya kuwachanganya akili wapiga kura - uzuri Wamarekani wengi wamekwisha shitukia njama hizo, wanajua watampigia nani kura ya ndiyo regardless ya opinion polls.
Too much Fox News. Lkn hata nao wameshamchoka.
 
Kama ameweza kusema kuwa Barack Obama na Bi Clinton ndyo founder wa Islamic state atakuwa mzima kweli.
Hii kitu nimeambiwa ni kweli japo so Obama ila ilikuwa mipango ya muds mrefu ya CIA
 
Mkuu hizo ni kampeini za kisiri siri zinazo enezwa na McCain akishirikiani na Jeb Bush - wasijifanye ni wasemaji wa raia wote wa USA , kundi la McCain na Establishnent yote wanaogopa kupoteza naslahi yao ya kinyonyaji pindi Trump akingia madarakani - wapiga kura wengi wanamkubali sana Trump licha ya vyombo vya habari hasa MSM kumkalia vibaya Trump na kutoa opinion polls za kupika zenye lengo ya kuwachanganya akili wapiga kura - uzuri Wamarekani wengi wamekwisha shitukia njama hizo, wanajua watampigia nani kura ya ndiyo regardless ya opinion polls.
Well said mkuu
 
Back
Top Bottom