mpiga domo
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 852
- 1,507
Katika mkutano uliofanyika hapo jana wa Nato, Trump alionekana kumsukuma Raisi wa Montenegro ili apate nafasi nzuri yeye ya kupiga picha. Na hakuomba msamaha wala kujutia kitendo hicho.
Nilichojifunza kutokana na tukio la jana ni kwamba, "Money can't buy class"
Video hii hapa
Link ya hiyo habari hii hapa. Naona vilaza wachache wanakimbilia kusema hii video imetengenezwa bila hata kufungua link.
https://www.nytimes.com/2017/05/25/...-aside-leader-montenegro-nato-summit.html&ved
http://www.bbc.com/news/av/world-us-canada-40050926/trump-pushes-past-montenegro-s-pm&v
Nilichojifunza kutokana na tukio la jana ni kwamba, "Money can't buy class"
Video hii hapa
Link ya hiyo habari hii hapa. Naona vilaza wachache wanakimbilia kusema hii video imetengenezwa bila hata kufungua link.
https://www.nytimes.com/2017/05/25/...-aside-leader-montenegro-nato-summit.html&ved
http://www.bbc.com/news/av/world-us-canada-40050926/trump-pushes-past-montenegro-s-pm&v