Trump Amshukia mwandishi wa Habari na kumnyang'anya passport yake

Wajinga sana cnn walimsema sana kwa uongo wakidhani mtu wao atashinda ni kama bongo kuna vistasheni fulani vya kijanja vitakavyoanguka na kijani itapoanguks
 
Wabongo bhana
Au nimeelewa tofaut na mleta mada hv kaangalia au kanyang`anya??

Mnaiabisha jf bhana
 
Haha dah mkuu umepata wapi hii? Hakuna mtu aliyenyanganywa passport!issue ya passport ni kutokana na habari zilizokua zina treand kwenye media kua mfanyakazi wake anayefahamika kwa jina la Michael alikua Prague ila baada ya kumwita ofisini kwake na kuangalia passport yake akakuta haikua kweli kua alikua nje ya marekani kwa wakati huo! Hvyo anataka shirika lililotoa habari za uongo liombe radhi!
Mkuu hata mm namshangaa mleta mada ila simlaumu maana lugha ya malkia ni tatizo.. Mbaya zaidi kuna wachangiaji ambao hata hawajafungua hiyo video.. Naanza kuamini ule utafiti wa kuwa kati ya watanzania wanne mmoja ni kichaa
 
  • Thanks
Reactions: dtj
Kamnyang'anya passport kwani Trump ana power gani sasa hivi za kuexecute executive power?
Ingawa mleta mada kaongeza sukari lakini .......

Trump sio mtu wa misimamo na sana sana anaamini kile anachokiongea .


We umesahau waziri wa Kenya juzi hapo tanga alinywang'anywa passport hije iwe kwa mwandishi?.....

Sema tu kinacgowasaidia mwenyewe wanaweza kukosoa sio kama Tanzania.....

Mfano Leo tu wateule wake wamesema wazi wapo na imani na vyombo vya ulinzi vya marekani na wala hata siku moja hawawezi kuamini Russia.....

Hiyo ndio advantage ya kuwa na katiba bora lakini wangekuwa na katiba mbovu kama hiyo ya Tanzania Trump

Angewaburuza sana marekani miaka hii minne...........
 
"Don't be rude", aisee hii nchi demokrasia yake iko juu sana tuna vingi vya kujifunza, yaani mwandishi anajiamini hivyo kubishana na Rais hadharani
 
Back
Top Bottom