Twitter prezidaa.
Huwa anaona Pres Sec anamchelewesha!
I don't know Putin, have no deals in Russia, and the haters are going crazy - yet Obama can make a deal with Iran, #1 in terror, no problem!
Wapi kuliko na rais?Hamna rais hapo.
Hahahaha Tz kwenyewe tunamnyampara tuWapi kuliko na rais?
Wewe unataka balaa. Dr. Maguful ni rais halali wa TanzaniaHahahaha Tz kwenyewe tunamnyampara tu
Yeah yaani hapo amekejeli tuu na amemkejeli Obama na Congress ambao hata Republican hawataki kuwasikia hao RussiansAlupohojiwa na mtangazaji wa Fox kuwa Putin ni killer
Akajibu
"Are we innocent?
Hawezi kumnanga Putin kutokana na mchango wake katika kupata Urais
Ha ha ha ha haaaaaaaa... nimeipenda hii.. haaaaa
Putin ni killer, sasa ndio Trump kamjua kiundani..
Sijui kwanini jamaa aliikimbia ile ID take!?Mr President niaje.
Sijui kwanini jamaa aliikimbia ile ID take!?