Trump agoma kumpa mkono Merkel wa Ujerumani, jamaa ana dharau balaa kwa wanawake

Hapo kwny dharau umesema ww..ss mtu kaoa mwanamke ...anyway kila mtu na tbia zake
 
This guy is playing with media. Na Hawa Republican wamepatikana kwa mambo ya kupuuzi
 
Wabongo huwa hata hatuangalii tunacholishwa. Yeyote ambaye angepitia FB page ya DJT kati ya waliomponda hapa ungeona hii picha.

Sijui mlitaka wawe wanaongea wameshikana mikono kama wanandoa?

FB_IMG_1489861239038.jpg
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Sasa bosi kwani ilikuwa lazima awafuate waandishi wa habari? That was not a big deal, Trumo ni mtu mzima ana jua ata shake hand muda gani, tena anavo wadis ma reporter walivo kuwa wana mwambia ndio atakuwa alitaka zaid asifanye.
Though Trump na Merkel si watu wano elewana sana pia

Sawa sio lazima afanye wanacho omba wana habari lakini sikiliza pia Merkel anavyo mwomba, aligomea wote.
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Angempa mkono ma liberali mngesema Trump ni womaniser asoma alama za nyakati na ujinga uliowajaa walengo wa mkono wa kushoto kuhusu yeye,mnalalamika tena.
 
Sawa sio lazima afanye wanacho omba wana habari lakini sikiliza pia Merkel anavyo mwomba, aligomea wote.
Yes
Ni kwakuwa walianza waandishi kuomba iwe hivo, hiko ndio kilimponza bi Merkel

Japo si watu watakao kuwa wana elewena for sure.
 
Back
Top Bottom