Ni earphone zisizo tumia waya. Zinaendana na simu na tablet za sumsung na iPhone, iPad. Epuka usumbufu wa kujivika waya ndefu pasipo lazima. Zinafaa sana kwa watu wa kawaida, pia madereva wa magari na pikipiki ambapo waweza kuongea na mtu kwenye simu au kusikiliza audio pasi na kushikilia simu.
Ina touch sensor ambapo waweza kupokea, kukata simu, kuwasha earphone kwa ku-touch tu sehemu ktk earphone.
Bei: Sh. 99,000.
Location: Dar es Salaam
Maelezo zaidi kuhusu earphone hizi na namna ya kutumia angalia kwenye instruction manual (pichani)
Bei
Ina touch sensor ambapo waweza kupokea, kukata simu, kuwasha earphone kwa ku-touch tu sehemu ktk earphone.
Bei: Sh. 99,000.
Location: Dar es Salaam
Maelezo zaidi kuhusu earphone hizi na namna ya kutumia angalia kwenye instruction manual (pichani)
Bei
Attachments
-
93013BA3-79A4-43EF-A356-B4421CEA8306.jpeg173.6 KB · Views: 25 -
A7D77189-B32B-43B3-AAF5-2F1D13C677F0.jpeg183.4 KB · Views: 24 -
94F7718F-057E-47AD-9B26-AAA7F6F6AC10.jpeg159.2 KB · Views: 29 -
319AA618-8E4F-4E2D-91C1-8C2BEE08B2C5.jpeg114 KB · Views: 26 -
7B5CAFFD-D79C-4A61-8B6C-30F3D652AC6D.jpeg224 KB · Views: 30 -
6D584BAA-BA51-4112-9308-F7244017BD38.jpeg183.9 KB · Views: 29 -
C5AA24CC-F2C5-4D76-BACB-C189A1CBDAC1.jpeg131.7 KB · Views: 28 -
18DE99FC-7C9C-4424-BF85-F76FBBEDB140.jpeg129 KB · Views: 28