chagga dady
Member
- Mar 20, 2019
- 31
- 23
Habari wana JF.
Mimi mzima hofu kwenu. Ni miaka kama miwili imepita tokea tupotezane na msichana ambaye nilikuwa nikimpenda sana, kipindi nipo form 4 yeye alikuwa form 3 which means mwaka 2017 ndipo nilipomaliza.
Nikachukua time zangu nikaja Dar nikamuacha. Kipindi chote cha mwaka mmoja sikuwa na mawasiliano naye kutokana na kwamba hakuwa na simu.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikarudi home Morogoro nikaenda mpaka kwao ila nikaambiwa ameenda kwa mom wake Ifikara kwani alikuwa anakaa na dada yake.
Nikajitahidi kupata mawasiliano yake nikafanikiwa. Nikamcheki tukachat vizuri story za hapa na pale ila alichonisikitisha ni kuniambia ana mtoto.
Yaani mpaka nguvu zimeniisha na nilimpenda sana.
Je kama wadau mnanishauri nini?
Mimi mzima hofu kwenu. Ni miaka kama miwili imepita tokea tupotezane na msichana ambaye nilikuwa nikimpenda sana, kipindi nipo form 4 yeye alikuwa form 3 which means mwaka 2017 ndipo nilipomaliza.
Nikachukua time zangu nikaja Dar nikamuacha. Kipindi chote cha mwaka mmoja sikuwa na mawasiliano naye kutokana na kwamba hakuwa na simu.
Mwaka huu mwezi wa 8 nikarudi home Morogoro nikaenda mpaka kwao ila nikaambiwa ameenda kwa mom wake Ifikara kwani alikuwa anakaa na dada yake.
Nikajitahidi kupata mawasiliano yake nikafanikiwa. Nikamcheki tukachat vizuri story za hapa na pale ila alichonisikitisha ni kuniambia ana mtoto.
Yaani mpaka nguvu zimeniisha na nilimpenda sana.
Je kama wadau mnanishauri nini?

....2017 npo 2nd year