'True caller' app nzuri but kuwa makini nayo

'True caller' app nzuri but kuwa makini nayo

Mimi ninaelewa details zinazochukuliwa ni zamuhusika mwenyewe jinsi alivyo ji register katika database ya true caller...ila sio kila phone book ya mtu inavyosoma....wewe ulijaza detail gan katika sever ya true caller ila sio mtu alivyokusave katika simu yake....inamana mimi nikusave j alafu kwa mtu mwingi utokee j wakati wewe ni s....labda nieleweshe zaidi nitapingana na mtoa mada hapa

na ndio inavyofanya kazi, ila kitu kimoja, TRUE CALLER thier first preference ni kutumia name uliyosave wewe kwa simu yako, it means kama kuna mtu hukumsave na kuna mtu alimsave kwa jina J kila ukipiga simu as long as una link na yule aleyemsave litaendelea kutokea jina J kwako, mpaka pale utaposave jina unalotaka kwa huyo J kwako.

Means pale ukiisave tu ile namba basi true caller hawatoitumie tena ile J wataacha ile ile ulosave
 
Aisee Kuna watu walishaseviwa majina ya ajabu ajabu. Mpaka mmoja nkasita kumwambia, mwingine nkamuuliza kumbe ni jina LA utani chuo na hakumbuki Nani alimsave na chuo alishamaliza few years, pia wale mnaopata huduma mbalimbali sehemu za biashara etc ukaacha number elewa mtoa huduma atakusave kutokana na uteja wako wa huduma Mfano unaweza seviwa " Dada makalio chips "kumbe Muuza chips alikusave ili kukutofautisha na wengine...
 
Hii app zuri Sana'a, mtu akipiga namba ngeni, sipokei kwanza baada ya ile simu kukata italeta jina lake halisi, ambalo anatumia mtaani kwao, kwa hiyo ukumwambia hello Fulani , lazima ashangae kwanza umejuaje jina language.

Inafaa kwa sisi tunaodaiwa sehemu nyingi.
 
anachosema mtoa mada ni cha kweli hiki ndo nilichokutana nacho kwa uyu mwana dada ndo nikajua kua anauza minofu
20181114_194549.jpeg
 
Yapo. Kama wewe ni tapeli ama mwizi basi jiandae kuwa blocked kwa sababu iwapo mmoja wa walioku-save "tapeli" akaingiza namba kwenye "common spammers" basi kila unaempigia km ana hio app basi simu hazitaingia kbs. Ila mhusika ataona missed call yako.

Mimi huwa sipigi sim so nahis itanifaa sana
 
Msichukulie technologia simple hivyo ......chek profile ya true caller inadetails zote mkuu ....yaan wewe unipe nick name watsap alafu ijiupdate bila ridhaa yangu ....hakuna kitu kama icho.....thread tango pori ihiiii...View attachment 933755View attachment 933756
Jamaa yupo sahihi...kuna namba za watu unashangaa inasoma labda Amina facebook..sasa hapa ni obvious kuna mtu amemsave huyo manz kama amina wa facebook,na huenda alimkuta fb
Au wew unahis kuna mtu anaweza jisave Asha facebook?
 
Hii App haifai imetaka kunisababishia kifo, nili install kwenye simu ya dem wangu kwa nia ya kum-spy yeye hakugundua kuwa ukichart hata ukifuta normal text zinaji save kwenye App, basi kuna mshikaji wake yeye alidai ni rafiki yake tu kumbe jamaa anakula mzigo, weekend moja nikamtoa out akawa naumwa nikamshikia simu nikapata wigo wa kuperuz nikakutana na text zooote walizokuwa wanachart na jamaa yake yani jamaa kapiga hadi mambo ya Rutty sikuamini nilichokiona
 
Back
Top Bottom