Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
she's charming,
Humble,
Mkweli,
Mwaminifu haswa kwa mumewe Asprin, shemeji yake Kaizer ambaye naye humega kimtino na Bujibuji Kidumu chake cha kudumu kwenye shida na raha, uzima na ugonjwa, kunasana na kukimbiziwa Tmk Hosp.
Cacico ana michango iliyo na mashiko.
Ni mshauri wa ajabu,
Ni mvumilivu,
Ana jumuika kila anapo alikwa,
Ni mzuri wa mwili sura, roho na akili.
Hana majibu ya hovyo hata ukisema vibaya.
Anajua mitindo mbalibali,
Ni mcha Mungu aliye na hofu ya Mungu.
Ana upendo wa dhati kwa wana chit chat na jukwaa zima la JF.
Wino kwa bahati mbaya umeniishia kabla sijamaliza kuorodhesha sababu zote.
Najua na wewe unazijua kibao ambazo sijazitaja.
TUMPIGIE KURA ZETU ZOTE cacico
Humble,
Mkweli,
Mwaminifu haswa kwa mumewe Asprin, shemeji yake Kaizer ambaye naye humega kimtino na Bujibuji Kidumu chake cha kudumu kwenye shida na raha, uzima na ugonjwa, kunasana na kukimbiziwa Tmk Hosp.
Cacico ana michango iliyo na mashiko.
Ni mshauri wa ajabu,
Ni mvumilivu,
Ana jumuika kila anapo alikwa,
Ni mzuri wa mwili sura, roho na akili.
Hana majibu ya hovyo hata ukisema vibaya.
Anajua mitindo mbalibali,
Ni mcha Mungu aliye na hofu ya Mungu.
Ana upendo wa dhati kwa wana chit chat na jukwaa zima la JF.
Wino kwa bahati mbaya umeniishia kabla sijamaliza kuorodhesha sababu zote.
Najua na wewe unazijua kibao ambazo sijazitaja.
TUMPIGIE KURA ZETU ZOTE cacico
Last edited by a moderator: