TRECTA LA MATUTA.

Inamonga

JF-Expert Member
Jun 25, 2016
779
473
Habari watalam wa kilimo na ufugaji,
Kuna kupindi nilisikia kuwa kuna trecta hapa nchini linauwezo wa kulima matuta.. je nikweli?
Nahitaji kwa ajili ya kukodi kama lipo, mm nipo mkuranga..
 
Nimeliona mkuu, kwa hapa mkuranga sijui kama ntalipata kwa ajili ya kukodi..
 
[HASHTAG]#FreeMaxenceMelo[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBackBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#JusticeforLema[/HASHTAG]
 
Trekta ni moja tu majembe ndio yako ya tofauti tofauti ,tafuta mtaalam wapo wanaojua kutumia hata jembe la disc kupigia tuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…