Tray za kupandia miche ya mboga mboga

Tray za kupandia miche ya mboga mboga

OIL CHAFU

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2012
Posts
996
Reaction score
776
Jamani habari humu jukwaani?

Naulizia kuna tray niliziona mahali, ziko kama tray za mayai lakini zenyewe ni maalum kwa ajili ya kupandia mbegu za mboga mboga kama vile nyanya, hoho, vitunguu etc. Mbegu zinakua hapo na mice ikifikia umri wa kufanya transplanting basi unahamishia shambani kwako. Nimefuatilia faida zake kuliko mtu anayepanda mbegu kwenye kitalu akafu ndo aanze kung'oa kuhamisha shambani nikaona ni nzuri sana kutumia tray especially kwa mkulima mdogo anayeanzisha bustani. Unatumia maji kidogo na pia ni rahisi kuhudumia.

Pia kuna aina mbali mbali za hiyo tray, zingine ni nyepesi, na zingine ni ngumu kidogo. Zingine zina tundu pana na zingine matundu madogo madogo. Wapi zinapatikana kwa urahisi zaidi
 
Upo wapii mkuu, Km unaweza kufika morogoro zipo znapatikana za kutosha. Znasaidia sana kupunguza transplanting shock kwa horticultural crops, ukipanda znabak vilevile bila kunyauka. Ukifika moro nenda Horiculture Unit, kuna bwana anaitwa, Godwin, Macha au Salum, watakusaidia kwa order lakin. Mm nlinunua pale 2015 zmedum mpka leo.
 
Upo wapii mkuu, Km unaweza kufika morogoro zipo znapatikana za kutosha. Znasaidia sana kupunguza transplanting shock kwa horticultural crops, ukipanda znabak vilevile bila kunyauka. Ukifika moro nenda Horiculture Unit, kuna bwana anaitwa, Godwin, Macha au Salum, watakusaidia kwa order lakin. Mm nlinunua pale 2015 zmedum mpka leo.
Horticulture Unit, SUA
 
Upo wapii mkuu, Km unaweza kufika morogoro zipo znapatikana za kutosha. Znasaidia sana kupunguza transplanting shock kwa horticultural crops, ukipanda znabak vilevile bila kunyauka. Ukifika moro nenda Horiculture Unit, kuna bwana anaitwa, Godwin, Macha au Salum, watakusaidia kwa order lakin. Mm nlinunua pale 2015 zmedum mpka leo.

Asante sana Mkuu, tena umenifungua akili, pale Moro kuna ndugu yangu hebu ngoja nimwelekeze alafu nione inakuwaje. Hapo siwezi kosa, maana Moro tunapita mara kwa mara aisee
 
Ayaa mkuu, ukiitaji namba zao takupatia maana bado ninazo, hort nzo kila kitu now
 
Ayaa mkuu, ukiitaji namba zao takupatia maana bado ninazo, hort nzo kila kitu now

Mkuu nitumie hata kwa pm nitashukuru utakuwa umenirahisishia zoezi. Maana nikiwasiliana nao nikishapata details na price as well as size, naweza hata kumuagiza mtu akanichukulia
 
Jamani habari humu jukwaani?

Naulizia kuna tray niliziona mahali, ziko kama tray za mayai lakini zenyewe ni maalum kwa ajili ya kupandia mbegu za mboga mboga kama vile nyanya, hoho, vitunguu etc. Mbegu zinakua hapo na mice ikifikia umri wa kufanya transplanting basi unahamishia shambani kwako. Nimefuatilia faida zake kuliko mtu anayepanda mbegu kwenye kitalu akafu ndo aanze kung'oa kuhamisha shambani nikaona ni nzuri sana kutumia tray especially kwa mkulima mdogo anayeanzisha bustani. Unatumia maji kidogo na pia ni rahisi kuhudumia.

Pia kuna aina mbali mbali za hiyo tray, zingine ni nyepesi, na zingine ni ngumu kidogo. Zingine zina tundu pana na zingine matundu madogo madogo. Wapi zinapatikana kwa urahisi zaidi
Pia kariakoo soko la juu zinapatikana, bei Ni shiling za kitanzania elfu kumi tuu na Kuna zenye matundu 60 na zenye matundu 75

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arusha Rijk Zwan wanazo pia. Pia wanauza na ule udongo wa kupandia.



Hii Simu Sio Ile, Hii Ni Hii
 
Back
Top Bottom