Hapana ndugu,yaani Ni hivi: mwisho wa kuomba transfer Ni tar 02/12/2012,,,CAS ikishafunguka watu wataomba transfer Na ukishaomba utakuwa Si peke yako ulioomba kwa siku mtakuwa wengi.kwahiyo watakachofanya Ni kwamba utapewa majibu yako ya kuwa umechaguliwa Chuo gani kupitia PROFILE yako ya TCU Na haita gharimu zaidi ya siku tano,kwahiyo kuwahi kwako ndio majibu yako yatawahi. Hivyo usishangae wewe umepata majibu yako ya transfer wakati huohuo wengine wanaomba.