kichwat
JF-Expert Member
- Mar 4, 2010
- 1,819
- 591
Kocha mzoefu wa Uholanzi Van Gaal (62) ameikacha Tottenham, sasa yupo kwenye mazungumzo na Manchester United.
Van Gaal ameshawahi kuzifundisha Ajax, Barcelona, AZ Alkmaar na Bayern Munich kwa mafanikio
makubwa na ameahidi kuinogesha zaidi EPL.
======================================
DONE DEALS (BIG NAME TRANSFERS):
REAL MADRID
- Gareth Bale (24) ametua Real Madrid kwa uhamisho wa £85.3m (REKODI YA DUNIA) kwa mkataba wa miaka 6. Atalipwa mshahara wa £300,000 kwa wiki. Kumbuka Christiano Ronaldo alisajiliwa na Real Madrid kwa dau la £80m.
ARSENAL
- Kiungo mchezeshaji anayeteleza Mesut Ozil (24) ametua Arsenal kwa mkatabawa miaka 5, kwa dau la £42.4m na mshahara wa £150,000 kwa wiki.
- Kipa Emiliano Viviano (27) ametua Arsenal kwa mkopo kutoka Palermo. Viviano anadakia pia timu ya taifa ya Italia.
- Kiungo Mathieu Flamini (29) amerejea Arsenal kutoka AC Milan kwa uhamisho huru. Flamini aliichezea Arsenal mwaka 2004 - 2008.
- Mshambuliaji Gervinho (26) ameuzwa AS Roma ya Italia kwa bei ya £8m.
CHELSEA
- Mshambuliaji kinda Romelu Lukaku (20) ameondoka tena, amehamia Everton kwa mkopo.
- Mshambuliaji Samuel Eto'o (32) ametua Chelsea kwa uhamisho huru kutoka Anzhi Makhachkala, kwa mkataba wa mwaka 1.
- Kiungo mshambuliaji Willian (25) ametua kwa uhamisho wa £30m kutoka Anzhi Makhachkala ya Urusi. Mkataba miaka 5.
- Kiungo Florent Malouda (33) ameondoka Chelsea kwenda Trabzonspor ya Uturuki kwa mkataba wa miaka 2.
- Mshambuliaji André Schürrle (22) kutoka Bayer Leverkusen ametua kwa dau £18m.
- Kiungo kinda Marco van Ginkel (20) ametua kutoka Vitesse Arnhem kwa dau la £8m.
LIVERPOOL
- Mshambuliaji wa Chelsea Victor Moses (22) amehamia Liverpool kwa mkopo wa msimu mmoja.
- Beki wa kati na kushoto Mamadou Sakho (23) ametua Liverpool kwa dau la £18m kutoka PSG.
- Beki wa kati Tiago Ilori (20) ametua Liverpool kutoka Sporting Lisbon kwa dau la £7m.
- mshambuliaji Iago Aspas (26) ametua kutoka Celta Vigo kwa dau la £7m.
- Golikipa Simon Mignolet (25) ametua kutoka Sunderland kwa dau la £9m.
- Beki Kolo Toure (32) ametua Liverpool kutoka ManCity.
- Kipa Pepe Reina (31) ameondoka Liverpool na kutua Napoli kwa mkopo. Anaungana tena na kocha Rafa Benitez.
- Mshambuliaji kinda Jonjo Shelvey (21) ameondoka Liverpool kwenda Swansea kwa dau la £5m.
- Mshambulaji Andy Carroll (24) amehamia West Ham kwa dau la £15.5m
- Mshambuliaji Fabio Borini (22) amehamia Sunderland kwa mkopo.
MANCHESTER CITY
- Beki Martin Demichelis (32) ametua ManCity kwa dau la £3.5m kutoka Atletico Madrid.
- Mshambuliaji Stevan Jovetic (23) ametua kwa dau la £22m kutoka Fiorentina.
- Mshambuliaji Alvaro Negredo (27) ametua kutoka Sevilla kwa dau £20m.
- Beki Maicon Douglas Sisenando (31) ameondoka ManCity kwenda AS Roma, baada ya kucheza mechi 13 tu tangu ajiunge na City.
- Kiungo mkabaji Fernandinho Luiz Roza (26) ametua kutoka Shakhtar Donetsk kwa dau la £30m.
- Kiungo Jesús Navas (27) ametua kutoka Sevilla kwa dau la £16m.
MANCHESTER UNITED
- Kiungo mshambuliaji Marouane Fellaini (25) ametua ManUtd kutoka Everton kwa dau la £27.5m.
Van Gaal ameshawahi kuzifundisha Ajax, Barcelona, AZ Alkmaar na Bayern Munich kwa mafanikio
makubwa na ameahidi kuinogesha zaidi EPL.
======================================
DONE DEALS (BIG NAME TRANSFERS):
REAL MADRID
- Gareth Bale (24) ametua Real Madrid kwa uhamisho wa £85.3m (REKODI YA DUNIA) kwa mkataba wa miaka 6. Atalipwa mshahara wa £300,000 kwa wiki. Kumbuka Christiano Ronaldo alisajiliwa na Real Madrid kwa dau la £80m.
ARSENAL
- Kiungo mchezeshaji anayeteleza Mesut Ozil (24) ametua Arsenal kwa mkatabawa miaka 5, kwa dau la £42.4m na mshahara wa £150,000 kwa wiki.
- Kipa Emiliano Viviano (27) ametua Arsenal kwa mkopo kutoka Palermo. Viviano anadakia pia timu ya taifa ya Italia.
- Kiungo Mathieu Flamini (29) amerejea Arsenal kutoka AC Milan kwa uhamisho huru. Flamini aliichezea Arsenal mwaka 2004 - 2008.
- Mshambuliaji Gervinho (26) ameuzwa AS Roma ya Italia kwa bei ya £8m.
CHELSEA
- Mshambuliaji kinda Romelu Lukaku (20) ameondoka tena, amehamia Everton kwa mkopo.
- Mshambuliaji Samuel Eto'o (32) ametua Chelsea kwa uhamisho huru kutoka Anzhi Makhachkala, kwa mkataba wa mwaka 1.
- Kiungo mshambuliaji Willian (25) ametua kwa uhamisho wa £30m kutoka Anzhi Makhachkala ya Urusi. Mkataba miaka 5.
- Kiungo Florent Malouda (33) ameondoka Chelsea kwenda Trabzonspor ya Uturuki kwa mkataba wa miaka 2.
- Mshambuliaji André Schürrle (22) kutoka Bayer Leverkusen ametua kwa dau £18m.
- Kiungo kinda Marco van Ginkel (20) ametua kutoka Vitesse Arnhem kwa dau la £8m.
LIVERPOOL
- Mshambuliaji wa Chelsea Victor Moses (22) amehamia Liverpool kwa mkopo wa msimu mmoja.
- Beki wa kati na kushoto Mamadou Sakho (23) ametua Liverpool kwa dau la £18m kutoka PSG.
- Beki wa kati Tiago Ilori (20) ametua Liverpool kutoka Sporting Lisbon kwa dau la £7m.
- mshambuliaji Iago Aspas (26) ametua kutoka Celta Vigo kwa dau la £7m.
- Golikipa Simon Mignolet (25) ametua kutoka Sunderland kwa dau la £9m.
- Beki Kolo Toure (32) ametua Liverpool kutoka ManCity.
- Kipa Pepe Reina (31) ameondoka Liverpool na kutua Napoli kwa mkopo. Anaungana tena na kocha Rafa Benitez.
- Mshambuliaji kinda Jonjo Shelvey (21) ameondoka Liverpool kwenda Swansea kwa dau la £5m.
- Mshambulaji Andy Carroll (24) amehamia West Ham kwa dau la £15.5m
- Mshambuliaji Fabio Borini (22) amehamia Sunderland kwa mkopo.
MANCHESTER CITY
- Beki Martin Demichelis (32) ametua ManCity kwa dau la £3.5m kutoka Atletico Madrid.
- Mshambuliaji Stevan Jovetic (23) ametua kwa dau la £22m kutoka Fiorentina.
- Mshambuliaji Alvaro Negredo (27) ametua kutoka Sevilla kwa dau £20m.
- Beki Maicon Douglas Sisenando (31) ameondoka ManCity kwenda AS Roma, baada ya kucheza mechi 13 tu tangu ajiunge na City.
- Kiungo mkabaji Fernandinho Luiz Roza (26) ametua kutoka Shakhtar Donetsk kwa dau la £30m.
- Kiungo Jesús Navas (27) ametua kutoka Sevilla kwa dau la £16m.
MANCHESTER UNITED
- Kiungo mshambuliaji Marouane Fellaini (25) ametua ManUtd kutoka Everton kwa dau la £27.5m.