Transfer vacancy request at ESS Utumishi

Ivi kwa mfano
Ivi kwa mfano umeomba uhamisho kwa kutuma barua alafu taasisi husika wakakujibu kuwa nafasi ipo jee unaweza kuendelea na transfer request kwa kuattach ile barua uliyojibiwa kama uthibitisho au mpka uanze mchakato wa kuomba vacancy request alafu wao wakujibu kweny mfumo then uendelee na transfer request?
 
Anza Mchakato Upya Na Uliombaje Uhamisho kwa Barua Wakati UTUMISHI walisitisha matumizi ya Barua April mwaka Jana?
 
Taasisi wakiapprove ukia
Je Taasisi wakiapprove ukianza kuniate transfer mkuu wa idara akiapprove inakuambia your transfer request is accepted you can now submit to authority approval,ukituma submit inakuletea vacancy in destination already filled maana yake nini?
 
KUmbe ni lazima Taasisi unayotaka kuhamia wa-approve..! Ina mlolongo kidogo. Ila kama Taasisi mpya washa-approve kwanini ionekane nafasi imeshajazwa..?
Hebu waje wajuvi wa mfumo watupe A,B,C
 
mkuu hata hapo huelewi maana yake? Huko unakoenda wamekataa kukupokea means wamekataa ombi lako au nafasi imejaa...
yaani nafasi uliyoomba kwenda huko imeshapata mtu
 
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎
 
Kwa taratibu hizi unaweza kukaa hata miaka mitano😎
Kama ni issue ya kuforward tu kutoka hapa kwenda kule ni zoezi la siku 3 tu ila ubize wa viongozi hapo ndio unaweza kuchelewesha jambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…