Daa! Nchi yetu ni noma hawa jamaa wa TCU vp mbona hawatoi afu wanapiga calender kwa sasa npo TCU afu naambiwa leo jion cjui kama watatoa tumuombe MUNGU!
Na kama mtu anaona wamechelewa kujibu akaamua kujisajili chuo alichokubaliwa mwanzo sababu vyuo vngne vmeeanza masomo je akitokea amebahatka kuhamishwa chuo ni lazma ahame chuo cha kwanza?
Mimi nilipitia chuo moja kwa moja wakanipa barua ya kunikubali wakanambia niipeleke tcu nilipofika mapokezi akanambia nikalipie bank 30000 kwanza ndio nkalipia akaziambatanisha zile form akapanda nazo juu
Daa! Nchi yetu ni noma hawa jamaa wa TCU vp mbona hawatoi afu wanapiga calender kwa sasa npo TCU afu naambiwa leo jion cjui kama watatoa tumuombe MUNGU!
Mimi nilipitia chuo moja kwa moja wakanipa barua ya kunikubali wakanambia niipeleke tcu nilipofika mapokezi akanambia nikalipie bank 30000 kwanza ndio nkalipia akaziambatanisha zile form akapanda nazo juu