Hata mimi aliniuliza kama nimeolewa nkamwambia hapana ila nina mchumba ambaye tunakaribia kufunga kufunga Ndoa akaniambia sawa and yet wamenialika for training na email wamenitumia hapa nasubiria waseme venue ya training
Hata mimi aliniuliza kama nimeolewa nkamwambia hapana ila nina mchumba ambaye tunakaribia kufunga kufunga Ndoa akaniambia sawa and yet wamenialika for training na email wamenitumia hapa nasubiria waseme venue ya training
Haaaaa mbona kwny job description hawajasema na wamesema ajira ni full tym, yan hapi umeshanikata maini sidhan kama nitapoteza nauli yangu kwenda huko seacliff tn washanikera tayar