Traffic wa bongo noma

Mussa kiraka

Senior Member
Joined
Mar 4, 2012
Posts
106
Reaction score
13
nilikua kituoni mwenge ghafla katokea trafik akamwita kondakta njoo alafu akaenda kwenye meza ya magazeti akachukua magazeti mawili akaondoka konda ndie mlipaji bila kupatana. je hii ni haki kweli?
 
Konda ni rafiki yake, wanafahamiana. Kwani konda alilipa au alikataa? Hajalazimishwa kumbuka
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…