Mussa kiraka Senior Member Joined Mar 4, 2012 Posts 106 Reaction score 13 Apr 19, 2012 #1 nilikua kituoni mwenge ghafla katokea trafik akamwita kondakta njoo alafu akaenda kwenye meza ya magazeti akachukua magazeti mawili akaondoka konda ndie mlipaji bila kupatana. je hii ni haki kweli?
nilikua kituoni mwenge ghafla katokea trafik akamwita kondakta njoo alafu akaenda kwenye meza ya magazeti akachukua magazeti mawili akaondoka konda ndie mlipaji bila kupatana. je hii ni haki kweli?
ntamaholo JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 12,950 Reaction score 6,981 Apr 19, 2012 #2 Konda ni rafiki yake, wanafahamiana. Kwani konda alilipa au alikataa? Hajalazimishwa kumbuka