Traffic Anapochukua Leseni Yako, Nini cha Kufanya?!

Traffic Anapochukua Leseni Yako, Nini cha Kufanya?!

Mi bado sijaelewa.. kwanini nimuachie nakala yangu!!? Mi nadhani kama unajijua huna makosa, uko smart chukua namba yake and go straight kwa RTO. Ni upuuzi, sikuachii hata copy na hata mbuni hupati. Ifike wakati tustuke wabongo
 
Saaaafi hilo neno dawa ya hawa ni kutoa copy za kutosha unakuwa nazo kwenye gari,akijichanganya unampa nakala alafu weweee huyoooo unasepa!!

Mkuu, hujui kwamba dereva unatakiwa utembee na leseni orijino na si fotokopi? Trafiki ukimpa fotokopi anaichana kisha anakudai orijino kama huna jiandae kumpa rushwa au uandikiwe notification.
 
Nadhani sheria hairuhusu.
Sheria trafic akidai leseni lazima ukaioneshe ndani ya siku 7.hii ni sheria ya road trafic act.
Ukifanya kosa anachotakiwa ni kukupeleka mahakamani. Sheria bado haziruhusu hii faini ya papo kwa papo.
Watu wanakubali kutoa faini hizo bila risiti ili kuondoa huu usumbufu wa kuchukuliwa leseni kwani hao polisi hawafati sheria na pengine hawazijui ndio maana ukipingana naye anapandisha kwa kusema ..unanifundisha mimi sio..nduo polisi wetu
Wa trafic ni virungu vya rushwa na wengune ni virungu vya mwili
 
aiseeee tutaendelea sana kuonewa hakika inabidi tukubali sisi niwajinga sana na waliopo juu yetu wanatumia mwanya huo kuzidi kutukandamiza.
yaani baadhi yawachangiaji.hapo juu bado wanaendelea kufanya kosa.
kwanza kisheria trafic haruhusiwi kupewa leseni hata kama ww ulikuwa na kosa hukutakiwa kumwachia leseni yako kwani leseni ni mali yako si yake.
mm ninavyofaham mtu ambaye anaruhusiwa kukagua leseni ni veko pekee.

sikia hapo tayari yy kafan6a kosa na kama angekutana na manunda kama ss ambao kutwa tunawatafuta hawa ilinasisi tupate pa kulipiza mbona angejuta.

mkuu ukitaka kujua umefanya kosa kiasi gani kwamfano litokee tukio lolote la kijambazi au poraji harafu hiyo leseni yako ikapatikana sehem ya tukio utajieleza nini ili vyombo vyetu vya kibongo vya usalama vikuelewe??

na kwakuwa unaleseni wanaamini kabisa unazijua taratibu sheria na kanuni za barabarani pamoja na za leseni so ukieleza huo upuuzi wako kuwa leseni ulimwachia trafic unafikili ni nani atakaye kuelewa??
na huyo trafic unampatia wapi wakati huo hata network zishakata kwa kipigo.

mkuu hapo huna kosa yaani kesho nenda kamuombe leseni yako akupe bila hata kumpa cent akikataa na kuonyesha dalili za kukuomba rushwa unampeleka front tuu.
tena itakuwa vizuri sana unapo ongea nae umrecord kabisaa.
umakuwa ushakuwa naushahidi kabisa.
au unamchukulia hata za moto unamkamatisha kwisha kazi.
kama mbwai mbwai tuu.
 
Saaaafi hilo neno dawa ya hawa ni kutoa copy za kutosha unakuwa nazo kwenye gari,akijichanganya unampa nakala alafu weweee huyoooo unasepa!!

Yote yanini si uendeshe kwa tahadhari, unapunguza mwendo kutokana na vibao ukikamtwa unaongea kama wenzio wanavyofanya ujuaji sana inakula kwako.
 
Saaaafi hilo neno dawa ya hawa ni kutoa copy za kutosha unakuwa nazo kwenye gari,akijichanganya unampa nakala alafu weweee huyoooo unasepa!!

Kuna mshikaji yeye kaibandika kwenye kioo kopi trafiki akiuliza anamwambia soma hapo na kopi ya kadi kaibandika kwa nyuma
 
Mkuu, hujui kwamba dereva unatakiwa utembee na leseni orijino na si fotokopi? Trafiki ukimpa fotokopi anaichana kisha anakudai orijino kama huna jiandae kumpa rushwa au uandikiwe notification.

Wewee iscan tu vizuri unakuwa nazo,mm natembea na hizo hizo ndio huwa nawaachia manyoya nasepa na sio mara moja nimeshafanya hivyo mara kibao maana ni wapuuzi hawa!sijawahi tembea na orijino na sitarajii kufanya hivyo kamwe labda baada utawala wa baba riz kufika kikomo!
 
Yote yanini si uendeshe kwa tahadhari, unapunguza mwendo kutokana na vibao ukikamtwa unaongea kama wenzio wanavyofanya ujuaji sana inakula kwako.

Yange yange unawajua unawasikia!!kuna baadhi ya maeneo ni waelewa tu hawasumbui hata kwa mambo madogo madogo lakini wa Mkoa wa Manyara mama yanguuu ni balaa wasumbufu sijapata ona!!
 
Sheria haisemi leseni umuachie trafik hilo ni kosa
 
These cops crooked in Dsm,Mangu took 'em out them old Honda and bought 'em new Hyundai. At traffic, I don't panic when I see them police lights; I got these pigs in my pocket like Moh’d Mpinga.
 
Wewee iscan tu vizuri unakuwa nazo,mm natembea na hizo hizo ndio huwa nawaachia manyoya nasepa na sio mara moja nimeshafanya hivyo mara kibao maana ni wapuuzi hawa!sijawahi tembea na orijino na sitarajii kufanya hivyo kamwe labda baada utawala wa baba riz kufika kikomo!

Mkuu, Wapi wanapofanya scanning inayofanana na license?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom