Tractor la kukodi

Tractor la kukodi

SaaMbovu

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2013
Posts
6,028
Reaction score
5,359
Habari wadau.
Namshukuru Mungu kwa uzima.
Natafuta Tractor (gari la kulimia) ambalo ni la kukodisha kwa ajili ya kilimo.Na kulikodi ni kwa msimu tu. Tractor lenyewe liwe katika hali nzuri. Kama nitapata mtu wa mikoa ya Manyara, Arusha, Dodoma Tanga, Singida, Kilimanjaro na Morogoro itakuwa poa zaidi. Kwahiyo basi kama kuna mtu analo ama rafiki yake analo naomba nijulishwe jamani msimu wa kilimo ndio huu. Kama mtu yupo serious naomba ani PM.
Regards
 
Shamba lako ni ekari ngapi?

Utahitaji kusawazisha udongo kwa harrow baada ya kulima?
 
Shamba lako ni ekari ngapi?

Utahitaji kusawazisha udongo kwa harrow baada ya kulima?

Sihitaji kusawazisha kwa haro. Nahapo juu nimesema nataka kukodi kwa msimu.
 
unataka trekta moja tu kwa mikoa yote uliyotaja au kila mkoa uliotaja utataka trekta,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom