Tractor inahitajika

Tractor inahitajika

cumins

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
975
Reaction score
442
Yeyote mwenye kutoa huduma ya kilimo kwa njia ya tractor.
Nahitaji huduma hiyo. Mahali shamba lilipo ni Magoza mji mpya kabla ya kuingia Mkuranga.
Ofa yangu ni 70000tsh kwa heka.
Zipo heka 30.
Nahitaji tractor lilime wala sio kupalia kama picha zinavyoonyesha.
1475918318991.jpg
1475918318991.jpg

Wasiliana nasi ktkt namba 0714796870
1475918318991.jpg
1475918493863.jpg

+255624070410
 
Da 70000 mara hizo Hecta mafuta ya laki sita dreva laki nne faida milooo na laki moja

ugali unanipitia usoni nikiwa naona mjomba uledi bwana juzi anampiga sound tycoon lima miwa
 
Da 70000 mara hizo Hecta mafuta ya laki sita dreva laki nne faida milooo na laki moja

ugali unanipitia usoni nikiwa naona mjomba uledi bwana juzi anampiga sound tycoon lima miwa
Sijakusoma kiongozi
 
Tractor ya kwanza nimeisimamisha jembe lake haliendi chini. Sasa yeye akawa anapalia badala ya kulima
 
Huyo jamaa alikuwa anapalia badala ya kulima.
Sasa ikabidi nimuonyeshe jinsi tractor linavyolima
 
Yeyote mwenye kutoa huduma ya kilimo kwa njia ya tractor.
Nahitaji huduma hiyo. Mahali shamba lilipo ni Magoza mji mpya kabla ya kuingia Mkuranga.
Ofa yangu ni 70000tsh kwa heka.
Zipo heka 30.
Nahitaji tractor lilime wala sio kupalia kama picha zinavyoonyesha.
View attachment 414506View attachment 414506
Wasiliana nasi ktkt namba 0714796870View attachment 414506View attachment 414509
+255624070410
Cumins, Ili uweze kulima hilo shamba kwa muonekano unaotaka na udongo wa mkuranga, na eneo linaonekana kama halijalimwa mda mrefu inabidi upate tractor yenye horse power kuanzia 80 na iwe na jembe zito la tani 3 na kuendelea chapa samaki, Kwa mie ulaji unanipita kando kabisa nina Ford 4190 95 HP ila liko Morogoro linaweza kulima chini mpaka inchi 12....Ila kwa upande wa mkuranga kupata tractor ya kulima hivyo utataabika kidogo kwani wana matrekta madogo madogo kutokana na udongo wa huko 70 % ni mlaini kichanga..
 
Nashukuru sana.
Hapo nililima mwaka jana mwezi kama huu. Ila shamba lote liliungua moto na mitiki kama 16000 miche yote imeungua tip imekufa na imeanza kuchepua kwa pembeni.
Mtaalam kaniambia haina thamani tena.sasa nimeamua kubadilisha kilimo bora niweke mpunga tu.kama na huo watachoma tutabanana humo humo.
Ngoja tusubili naweza pata tractor ambalo litafanikiwa.
Natanguliza shukran zangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom