kande kavu
JF-Expert Member
- Sep 17, 2011
- 234
- 86
Ni matumaini yangu kuwa wajanja wa jukwaa hili muwazima.
Niko naomba msaada/mwongozo wenu wa namna ya kumtrace anonymus anayekutumia email.
Kuna kiumbe nimevumilia nimeshindwa, amekuwa akinitumia email za kukera sana kwa email addresses tofauti pasipo mimi kumfahamu.Contents za email zake zinaonyesha ananifahamu.
Nianzie wapi kumfahamu huyu kiumbe?
Tafadhali!
Niko naomba msaada/mwongozo wenu wa namna ya kumtrace anonymus anayekutumia email.
Kuna kiumbe nimevumilia nimeshindwa, amekuwa akinitumia email za kukera sana kwa email addresses tofauti pasipo mimi kumfahamu.Contents za email zake zinaonyesha ananifahamu.
Nianzie wapi kumfahamu huyu kiumbe?
Tafadhali!