Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
TRA wanatumiwa kisiasa na watu wa magamba kujaribu kuiokoa CCM inayotota matopeni! Nauliza: CCM inalipa kodi? maviwanja yote waliyopora kutoka kwa wananchi wanavilipia? Nasema hivi kwa sababu nimedokezewa kwa uhakika kabisa wahajawahi kuvilipia kodi ya viwanja na nyinginezo.
Usahahidi wa kwamba TRA (pamoja na vyombo vingine vya sewrikali kama polisi etc) vinaendeshwa kwa pua na wanasiasa wa magamba na siyo kutokana na uwezi na weledi wa wavyoviongoza. Suala hili lilianzia kutoka gazeti la magamba kwa kuwauliza TRA iwapo CDM wanalipa kodi. Halafu Nape Nauye akadakia jukwaani na hapo TRA ndio wakaingilia!
Usahahidi wa kwamba TRA (pamoja na vyombo vingine vya sewrikali kama polisi etc) vinaendeshwa kwa pua na wanasiasa wa magamba na siyo kutokana na uwezi na weledi wa wavyoviongoza. Suala hili lilianzia kutoka gazeti la magamba kwa kuwauliza TRA iwapo CDM wanalipa kodi. Halafu Nape Nauye akadakia jukwaani na hapo TRA ndio wakaingilia!