Voice of Wisdom
JF-Expert Member
- Oct 4, 2011
- 537
- 240
- Thread starter
- #21
Una uhakika na usemalo. Mi nawafahamu watu wengi sana zaidi ya mia ambao ni staff wa tra na ni makabila tofautitofauti. Sasa unaposema ukabila una maana gani???
Au pitia kwenye org structure ya tra uone management ilivyokuwa na mchanganyiko wa makabila mbalimbali.
Kama umejikatia tamaa usiwaambukize wenzio please. Just keep quite utaonekana na busara zaidi
Au pitia kwenye org structure ya tra uone management ilivyokuwa na mchanganyiko wa makabila mbalimbali.
Kama umejikatia tamaa usiwaambukize wenzio please. Just keep quite utaonekana na busara zaidi